Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,956
But Kenya ikikopa ni mbaya. Hamjielewi nyinyi😂😂😂Ni kweli, hakuna uchumi bila mikopo, mikopo inaweza kuleta mapinduzi makubwa kiuchumi ikitumika ipasavyo na ikiwa kwenye mikono na akili salama, mfano mzuri ni deni la Kenya versus vitu kwa ground na deni la Tanzania versus vitu kwa ground!
Nchi inayoendeshwa kwa mikopo na misaada 🙂

