. Hakuna eneo liliachwa hata moja. Vihenge vya kuhifadhia nafaka babati .kwanini tusiwauzie chakula Kenyans.?
. Hakuna eneo liliachwa hata moja. Vihenge vya kuhifadhia nafaka babati .kwanini tusiwauzie chakula Kenyans.?
Acha tu mkuu yaani nimejikuta nimebwatuka, mtu anataka kutugawa kwa ukanda na ukabila wakati Tanzania hatuna hizo mambo. Maendeleo yapelekwe kwenye uhitaji ila siyo eti kwa kuwa fulani namchukia basi huko hakutakiwi kupelekwa mradi wowote wenye tija.Naona leo umeamua kutema nyongo mkuu![]()
I doubt kama hiyo ndio render unajuwa wa tz kwenye kuhabarisha umma wako nyuma kidogo hawaoni umuhimu wake ndio maana mwisho wa siku design mbovu hupitishwa. Hiyo barabara ni elevated road from fire mpaka magomeni the existing road bado itakuwepo na uhalisia wake hauendani na renderIs this ugly design?View attachment 2423734
Things huenda kwa hatua kwanza sheria mama ambayo ni katiba ya kueleweka iwepo huo ndio msingi mkuu mengine ya kimaadili, tabia na hulka yanajengwa juu yake. Hautaweza kurekebisha jamii iwe bora kama msingi ni mbovu na hausapoti hayo mabadiliko katika jamii.Sasa kama katiba mpya ikiwepo halafu haileti mabadiliko ina maana gani hapo mkuu?
Wizi ule ule, upigaji ule ule,ufisadi kama kawaida,kuvunja sheria na kuisigina katiba inabaki pale pale, sasa jiulize hapa inakuwa imesaidia nini?
Isiwe sababu ya kuachilia mambo yaende kama yalivyo at least we need to start somewhere and the right place ni sheria mama kwanza mengineyo yatafuata taratibu hii nchi haiitaji kumwaga damu kupata mabadiliko.Hili suala la katiba mpya tuliangalie katika angles zote. Kuwa na katiba mpya kama kitabu ni tofauti na kuwa na katiba mpya yenye maandishi au kitabu kinachofanya kazi. Tatizo la Afrika hatujafikia kwenye ustaarabu wa kufuata sheria kama jinsi ilivyotungwa, bado watu hawajawa na utashi wa kuacha mifumo ijiongoze yenyewe.
Tukiwa na katiba mpya halafu ikafanya kazi sawa sawa mimi sina shida wala shaka hapo. Viongozi wetu kuna mahali hawafanyi sawa sawa na matakwa ya sheria, kanuni na miongozo ya katiba. Sasa katiba mpya itasaidiaje kama jamii nzima haitaki kubadilika?
Tanroads said official render is expected to be completed on December.You have to..................because you are stupid! That isn't an official render.
Hapana, sijapinga jambo lolote hapo. “Daraja la kisasa” Ndio daraja la aina gani? Labda tuanze na hili swali.Wewe siku hizi umekuwa unapinga kila kitu, so sishangai.
Design mpaka DecemberTanroads said official render is expected to be completed on December.
Hii ndio concept yangu tuanzie kwenye misingi kama ilivyokuwa mwanzo. Kuna mahali tayari tumeshapotoka japo hatujachelewa sana tunaweza kurekebisha na mambo yakaenda vizuri.Isiwe sababu ya kuachilia mambo yaende kama yalivyo at least we need to start somewhere and the right place ni sheria mama kwanza mengineyo yatafuata taratibu hii nchi haiitaji kumwaga damu kupata mabadiliko.
Taifa la kusaidiwa kila kitu hadi ngano from countries at wars
Taifa la kusaidiwa kila kitu hadi ngano from countries at wars


Matajiri wa mchongo .Hapana, sijapinga jambo lolote hapo. “Daraja la kisasa” Ndio daraja la aina gani? Labda tuanze na hili swali.