Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usijali mkuu... all in all tukutane 2025.
Kuna watu saiz hawaelewi na hawataki kuelewa ila 2025 wataelewa tu.
Na hii sector ya umeme ambapo kuna 'obama wa bongo' ndo penyewe hasa
kabisaaa!
 
Mkuu kuwa brainwashed ni kitu kibaya sana. Yaani akili yako inashikiliwa na wajinga kwa ridhaa yako mwenyewe unafikiri ni rahisi kutoka huko kwenye hiyo hypnosis? Propaganda za amani na urulivu zimewapumbaza mpaka hawajitambui.
Hili suala la katiba mpya tuliangalie katika angles zote. Kuwa na katiba mpya kama kitabu ni tofauti na kuwa na katiba mpya yenye maandishi au kitabu kinachofanya kazi. Tatizo la Afrika hatujafikia kwenye ustaarabu wa kufuata sheria kama jinsi ilivyotungwa, bado watu hawajawa na utashi wa kuacha mifumo ijiongoze yenyewe.

Tukiwa na katiba mpya halafu ikafanya kazi sawa sawa mimi sina shida wala shaka hapo. Viongozi wetu kuna mahali hawafanyi sawa sawa na matakwa ya sheria, kanuni na miongozo ya katiba. Sasa katiba mpya itasaidiaje kama jamii nzima haitaki kubadilika?
 
Ukiangalia US katiba yao imeanisha mipaka baina ya establishment na the Presidency. Huku kwetu iko grey area between the two, the president ndio kila kitu hata akitaka mke wako utamtoa tuu.

Labda nikupe uhalisia ambao watz wengi hawajui. The president is part of Parliament wielding 50% power. No bill can be made into law kama president hajaridhia, pia the president ndie head wa executive, ukija kwenye judiciary president ana appoint judges. Hii mihimili mitatu inapaswa kuwa independent kwa kusimamia maslahi mapana ya taifa lakini kila muhimili kuna mkono wa Rais sasa balances and checks ziatokea wapi kwa hali kama hii. Tutaburuzwa tuu mpaka kamasi zitutoke.
US na Tanzania kwenye mifumo ya uongozi ni vitu viwili tofauti mkuu, walishaweka mambo vizuri miaka mingi sisi ndio tunaanza, tuondoe fikra za kizamani, ubinafsi, ulafi wa madaraka, kujuana, makundi yenye uchu wa kuongoza tutangulize uzalendo halafu tuwe kitu kimoja hapo tutaweza kuzitii sheria.na katiba itafanya kazi kwa kukidhi matakwa ya wananchi.
 
hebu ona hapa Mashashola.....

kua na hio kiburi kama unajua landmass area ya nchi yako ni kubwa, kama vile russia, marekani ama china ama drc ama ata tz.....
lakini sasa ka nchi kadooogo kama north korea jameni...!
size yake rwanda ama burundi🤔..
nukes 3tatu pekee inatosha ku wipe out hako ka nchi out of the face of this planet!🌎 💣💥
Uko correct, lakini ujue bado nuclear za northkorea zikipata nchi yeyote itakua mamillioni ya vifo including marekani yenyewe. Alafu huwezi nuke north korea bila hiyo nuclear fall-out kuaffect nchi kama southkorea, china na russia sababu nchi yenyewe ni ndogo sana na inakaribiana sana na hizi giants. Kwa hiyo ukinuke north korea, china + russia watakunuke back in retaliation na sidhani kuna jeshi kwa hii dunia itasurvive kua nucked na hizi nchi mbili
 
Ichukue hiyo jua kali type interchange zen iweke ulaya, itakaa nchi gn developed, peleka upumbavu wako mbali na mm mjinga wewe
Hivi unajua quality ya mtz na mkenya ni tofauti sana. Sisi macho yetu yanaona tofauti na wao kwasababu siye tumezoeshwa vitu vizuri, angalia picha zao ni lazima waweke filters ila zetu zinatoka bila filter lakini very classic
 
Uko correct, lakini ujue bado nuclear za northkorea zikipata nchi yeyote itakua mamillioni ya vifo including marekani yenyewe. Alafu huwezi nuke north korea bila hiyo nuclear fall-out kuaffect nchi kama southkorea, china na russia sababu nchi yenyewe ni ndogo sana na inakaribiana sana na hizi giants. Kwa hiyo ukinuke north korea, china + russia watakunuke back in retaliation na sidhani kuna jeshi kwa hii dunia itasurvive kua nucked na hizi nchi mbili
sisemi kitu bro🙏🏽 on point! hapo ndipo🔥
 
88 nairobi 44 floors

View attachment 2424208
1669125810083.png
 
Back
Top Bottom