7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Usijali mkuu... all in all tukutane 2025.
Kuna watu saiz hawaelewi na hawataki kuelewa ila 2025 wataelewa tu.
Na hii sector ya umeme ambapo kuna 'obama wa bongo' ndo penyewe hasa




kabisaaa!Usijali mkuu... all in all tukutane 2025.
Kuna watu saiz hawaelewi na hawataki kuelewa ila 2025 wataelewa tu.
Na hii sector ya umeme ambapo kuna 'obama wa bongo' ndo penyewe hasa




kabisaaa!Hili suala la katiba mpya tuliangalie katika angles zote. Kuwa na katiba mpya kama kitabu ni tofauti na kuwa na katiba mpya yenye maandishi au kitabu kinachofanya kazi. Tatizo la Afrika hatujafikia kwenye ustaarabu wa kufuata sheria kama jinsi ilivyotungwa, bado watu hawajawa na utashi wa kuacha mifumo ijiongoze yenyewe.Mkuu kuwa brainwashed ni kitu kibaya sana. Yaani akili yako inashikiliwa na wajinga kwa ridhaa yako mwenyewe unafikiri ni rahisi kutoka huko kwenye hiyo hypnosis? Propaganda za amani na urulivu zimewapumbaza mpaka hawajitambui.
US na Tanzania kwenye mifumo ya uongozi ni vitu viwili tofauti mkuu, walishaweka mambo vizuri miaka mingi sisi ndio tunaanza, tuondoe fikra za kizamani, ubinafsi, ulafi wa madaraka, kujuana, makundi yenye uchu wa kuongoza tutangulize uzalendo halafu tuwe kitu kimoja hapo tutaweza kuzitii sheria.na katiba itafanya kazi kwa kukidhi matakwa ya wananchi.Ukiangalia US katiba yao imeanisha mipaka baina ya establishment na the Presidency. Huku kwetu iko grey area between the two, the president ndio kila kitu hata akitaka mke wako utamtoa tuu.
Labda nikupe uhalisia ambao watz wengi hawajui. The president is part of Parliament wielding 50% power. No bill can be made into law kama president hajaridhia, pia the president ndie head wa executive, ukija kwenye judiciary president ana appoint judges. Hii mihimili mitatu inapaswa kuwa independent kwa kusimamia maslahi mapana ya taifa lakini kila muhimili kuna mkono wa Rais sasa balances and checks ziatokea wapi kwa hali kama hii. Tutaburuzwa tuu mpaka kamasi zitutoke.
Watasema halitawahi kujengwa na kukamilikaKwenye hii sekta hatuna mpinzani Africa.View attachment 2423714




Uko correct, lakini ujue bado nuclear za northkorea zikipata nchi yeyote itakua mamillioni ya vifo including marekani yenyewe. Alafu huwezi nuke north korea bila hiyo nuclear fall-out kuaffect nchi kama southkorea, china na russia sababu nchi yenyewe ni ndogo sana na inakaribiana sana na hizi giants. Kwa hiyo ukinuke north korea, china + russia watakunuke back in retaliation na sidhani kuna jeshi kwa hii dunia itasurvive kua nucked na hizi nchi mbilihebu ona hapa Mashashola.....
kua na hio kiburi kama unajua landmass area ya nchi yako ni kubwa, kama vile russia, marekani ama china ama drc ama ata tz.....
lakini sasa ka nchi kadooogo kama north korea jameni...!
size yake rwanda ama burundi🤔..
nukes 3tatu pekee inatosha ku wipe out hako ka nchi out of the face of this planet!🌎 💣💥
Lilitakiwa liweje labda mkuu, toa idea yako inaweza kusaidia wajenzi.“Daraja la Kisasa” has me laughing![]()
Hivi unajua quality ya mtz na mkenya ni tofauti sana. Sisi macho yetu yanaona tofauti na wao kwasababu siye tumezoeshwa vitu vizuri, angalia picha zao ni lazima waweke filters ila zetu zinatoka bila filter lakini very classicIchukue hiyo jua kali type interchange zen iweke ulaya, itakaa nchi gn developed, peleka upumbavu wako mbali na mm mjinga wewe![]()




Huyu kamaa naye anachokitafutai don't knw why this boy is so much obsessed with nuclear weapons!!nikama utoto haijaisha.. he thinks exchange of atomic bombs is like PS[Playstation]
View attachment 2424034View attachment 2424033View attachment 2424035View attachment 2424036



Wivu kwani airport inajengwa?Huna lolote wivu tu umekujaa na chuki za kijinga una kinyongo na watu wa kanda ya ziwa utadhani walichonacho unaweza kukichukua. Acha upumbavu.
sisemi kitu bro🙏🏽 on point! hapo ndipo🔥Uko correct, lakini ujue bado nuclear za northkorea zikipata nchi yeyote itakua mamillioni ya vifo including marekani yenyewe. Alafu huwezi nuke north korea bila hiyo nuclear fall-out kuaffect nchi kama southkorea, china na russia sababu nchi yenyewe ni ndogo sana na inakaribiana sana na hizi giants. Kwa hiyo ukinuke north korea, china + russia watakunuke back in retaliation na sidhani kuna jeshi kwa hii dunia itasurvive kua nucked na hizi nchi mbili
Mwanaume huyoo....i don't knw why this boy is so much obsessed with nuclear weapons!!nikama utoto haijaisha.. he thinks exchange of atomic bombs is like PS[Playstation]
View attachment 2424034View attachment 2424033View attachment 2424035View attachment 2424036
Naona leo umeamua kutema nyongo mkuuHuna lolote wivu tu umekujaa na chuki za kijinga una kinyongo na watu wa kanda ya ziwa utadhani walichonacho unaweza kukichukua. Acha upumbavu.








siyo official render hii, imewekwa tu nadhani kama mfano tu.Is this ugly design?View attachment 2423734
“Daraja la Kisasa” has me laughing 😂
Wewe siku hizi umekuwa unapinga kila kitu, so sishangai.
Hiyo hela itengeneze hayo majengo yanayoporomoka huko kanairo kila kukicha🙂Hakuna company ya Tanzania inaweza ata kunusia Ksh33B in 9 months...,