. Saa zingine huwa napiga kimya tu Ila sijawahi kuona watu wa hovyo kama wanaobeza sisi kununua ndege zetu wenyewe, . Watanzania waliokwama India ☝️ Mungu atupe nini je tusingekua na ndege zetu ingekuaje.? . Watanzania waliokwama China ☝️ .jamani tujifunze kumheshim rais magufuli ametutendea yanayostahili kabisa