game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,333
Ithis
Dar CBD
Hahah, mkuu jina lako linafanana na hanson,
Hanson Choice



Ithis
Dar CBD



Hayawi hayawi
We kila kitu humu 'but this, but that'.. na viingereza uchwara vingiii.. kwanza huchoki? Unataka kuonekana wa tofauti sanaaa? Au uonekane uko na exposure sana? 😅 vitu vingine vya 'utanzania' chuna na suggestion nyingine hazina maana.. mf what is the point of them being painted in yellow? To signify what?They are really not so different from Kenya’s SGR carriages. The color coordination is ugly. They should’ve at least painted them in yellow.
“BUT” Ndio kitu kinachohitajika kuleta mabadiliko especially kwenye maswala yanayofanywa na serikali isoyopenda alternate opinions. Difference is good. Wote tukikubaliana hatutaenda popote.We kila kitu humu 'but this, but that'.. na viingereza uchwara vingiii.. kwanza huchoki? Unataka kuonekana wa tofauti sanaaa? Au uonekane uko na exposure sana? 😅 vitu vingine vya 'utanzania' chuna
Asee..anyway, uko free
Mkuu, wewe na Nyerere nani zaidi katika Mambo ya siasa?, Hii katiba ingekuwa ni mbaya Sana, Nyerere angeifanyia mabadiliko ili iweze kuendana na maisha ya Sasa, Nyerere aliipenda Sana Tanzania na watanzania kuliko mtu yeyote yule.Things huenda kwa hatua kwanza sheria mama ambayo ni katiba ya kueleweka iwepo huo ndio msingi mkuu mengine ya kimaadili, tabia na hulka yanajengwa juu yake. Hautaweza kurekebisha jamii iwe bora kama msingi ni mbovu na hausapoti hayo mabadiliko katika jamii.
Kila mtu (kwa watanzania) yuko huru kumquote mwenzake na kumkosoa, kama hutaki uko huru kumblock kama nilivyoblock bwana Kivvelu😄.. watanzania ni kawaida yetu kuhojiana sio kama wakenya mtu anajua anasema uongo wenzake wanamkalia kimya.. im just trying understand why kila siku in kila kitu 'but this but that' ? Jack of all trade? Im just curious on that“BUT” Ndio kitu kinachohitajika kuleta mabadiliko especially kwenye maswala yanayofanywa na serikali isoyopenda alternate opinions. Na Hata hivyo sijaku-quote wewe, Kwa hiyo sioni sababu ya kutafuta maneno na mimi.
Nime-update my reply. Go back and re-read it.Kila mtu (kwa watanzania) yuko huru kumquote mwenzake na kumkosoa, kama hutaki uko huru kumblock kama nilivyoblock bwana Kivvelu😄.. watanzania ni kawaida yetu kuhojiana sio kama wakenya mtu anajua anasema uongo wenzake wanamkalia kimya.. im just trying understand why kila siku in kila kitu 'but this but that' ? Jack of all trade? Im just curious on that
View attachment 2424554View attachment 2424557
Im one of biggest haters wa sa100 na serikal ya sasa ilivyo dhaifu na kwa position niliyonayo naifanya iwe dhaifu zaid😆Nime-update my reply. Go back and re-read it.
Wewe huna tatizo na replies zangu za kukosoa. Na kila reply ninayoandika Ina context. I’m not a hater. Siko hapa kusifia mazuri either. Ninakosoa mabaya. Why would I waste my time to glorify the good if I can criticize the bad so it can also turn into something good? Kama Wewe kazi yako ni kusifu, sifu. But that’s not me.
Rangi wanazotumia ni za TRC, kampuni ya serikali. Lakini in my opinion, huu mradi unatumia fedha nyingi sana. Watu watahisi national pride kama moja ya rangi Au coordination ya rangi zote za bendera ya taifa zikitumika. Pia Yellow is a good color choice for moving vehicles as it’s very sensitive to the eyes. And yellow is a color we use on our flag. It’s really no brainer to me that it would be a great choice.Im one of biggest haters wa sa100 na serikal ya sasa ilivyo dhaifu😆
Ok. Tuendelee na hoja nyingine.. kweny BUT yako, what is the point ya treni kuwa coloured yellow?
So mradi kutumia hela nyingi, ni rangi iliyopo kwenye bendera ya taifa na color visibility ndo sababu unaikataa hio rangi ya sasa na ibadilishwe iwe yellow? Thats all or kuna mengine hujasema?Rangi wanazotumia ni za TRC, kampuni ya serikali. Lakini in my opinion, huu mradi unatumia fedha nyingi sana. Watu watahisi national pride kama moja ya rangi Au coordination ya rangi zote za bendera ya taifa zikitumika. Pia Yellow is a good color choice for moving vehicles as it’s very sensitive to the eyes. And yellow is a color we use on our flag. It’s really no brainer to me that it would be a great choice.
Yes. Allegorical representation ya yellow pia ni kitu muhimu. SGR inajengwa kufikia mineral deposits upcountry and to our neighbors. The yellow on our flag stands for our ubundant mineral resources. I like details, so if you are a bland individual, you wouldn’t understand.So mradi kutumia hela nyingi, ni rangi iliyopo kwenye bendera ya taifa na color visibility ndo sababu unaikataa hio rangi sasa na ibadilishwe iwe yellow? Thats all or kuna mengine hujasema?
Ase, kama hizo ndo vivid points, bas sawa naungana na wew, zimebadilishwe ziwe yellow. Have a great timeYes. Allegorical representation ya yellow pia ni kitu muhimu. SGR inajengwa kufikia mineral deposits upcountry and to our neighbors. The yellow on our flag stands for our ubundant mineral deposits. I like details, so if you are a bland individual, you wouldn’t understand.
Pia hata ukiangalia station designs zinabeba details nyingi kuhusu nchi. Tanzanite station ya Dar es salaam, pia kuna station za Kati Kati kama Soga zimepewa design ya “Coat of Arms” ya Tanzania. Hii miradi sio random. Watu wanakaa kufikiria symbolism itakayofanya watu wajivunie na miradi ya nchi. Na opinion yangu sio wabadilishe. Pesa imeshatumika kupaka rangi hizo treni. I just think they should’ve thought this through, and maybe in the future, if they purchase new trains or if the current color starts wearing off, they should know which colors to use.Ase, kama hizo ndo vivid points, bas sawa naungana na wew, zimebadilishwe ziwe yellow. Have a great time
Ok. Have a great time mkuuPia hata ukiangalia station designs zinabeba details nyingi kuhusu nchi. Tanzanite station ya Dar es salaam, pia kuna station za Kati Kati kama Soga zimepewa design ya “Coat of Arms” ya Tanzania. Hii miradi sio random. Watu wanakaa kufikiria symbolism itakayofanya watu wajivunie na miradi ya nchi. Na opinion yangu sio wabadilishe. Pesa imeshatumika kupaka rangi hizo treni. I just think they should’ve thought this through, and maybe in the future, if they purchase new trains or if the current color starts wearing off, they should know which color to use.
Likewise.Ok. Have a great time mkuu
They are really not so different from Kenya’s SGR carriages. The color coordination is ugly. They should’ve at least painted them in yellow.
Labda ni mwananchi😂😂Im one of biggest haters wa sa100 na serikal ya sasa ilivyo dhaifu na kwa position niliyonayo naifanya iwe dhaifu zaid😆
Ok. Tuendelee na hoja nyingine.. kweny BUT yako, what is the point ya treni ya Tanzania kuwa coloured yellow?
Oh! Shut up! Kwenda zako huko!They are really not so different from Kenya’s SGR carriages. The color coordination is ugly. They should’ve at least painted them in yellow.
Yanga is not entitled to the color yellow.Oh! Shut up! Kwenda zako huko!
Kimbelembele kingii. Zipakwe yellow kwani ni za yanga hizo!