Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna kitu cha ziada wewe zaidi ya githeri ya chukuchuku kichwa mwako. Swaini wewe!
Screenshot_20221122-111221.jpg
 
Unajua maana ya neno "quality" kweli? I doubt kama unajielewa, ama hauna uwezo wa ku express your mind properly, mara "umepanic" now "quality" zezeta kweli kule ulaya they build such and even less than that in their urban and outskirts, wewe hauna exposure,., ama haujui unaongelea nini.,
work in progress...., what is not quality here? kindly describe...., (give a descriptive explanation)..,
View attachment 2423880
View attachment 2423882
Ichukue hiyo jua kali type interchange zen iweke ulaya, itakaa nchi gn developed, peleka upumbavu wako mbali na mm mjinga wewe
 
i don't knw why this boy is so much obsessed with nuclear weapons!!🤔🤔 nikama utoto haijaisha.. he thinks exchange of atomic bombs is like PS[Playstation]

Screenshot_20221122-133505_Phoenix.jpg
Screenshot_20221122-132958_Phoenix.jpg
Screenshot_20221122-133521_Phoenix.jpg
Screenshot_20221122-133537_Phoenix.jpg
 
He knows the enormous power of having a nuclear warhead🤣🤣. Unapewa heshima hadi na the west
hebu ona hapa Mashashola.....

ni heri uwe na hio kiburi kama unajua landmass area ya nchi yako ni kubwa, kama vile russia, marekani ama china ama drc ama ata tz.....
lakini sasa ka nchi kadooogo kama north korea jameni...!
size yake rwanda ama burundi🤔..
nukes 3tatu pekee inatosha ku wipe out hako ka nchi out of the face of this planet!🌎 💣💥
 
Wewe ni mpumbavu! Kukataa miradi ya tembo mweupe si chuki bali kuwa conscious na matumizi mabaya ya rasilimali! Airports zilizopo kanda ya ziwa zinatosha! zifanyiwe maboresho tu!
Huna lolote wivu tu umekujaa na chuki za kijinga una kinyongo na watu wa kanda ya ziwa utadhani walichonacho unaweza kukichukua. Acha upumbavu.
 
Wewe hushangai kuona hata vijana wadogo humu ndani wanakuanbia hakuna haja ya katiba mpya halafu reason wanazokupa cannot even hold water. Purely brainwashed generation, mapambio tuu ndio wanaweza sio kudai katiba.
Sasa kama katiba mpya ikiwepo halafu haileti mabadiliko ina maana gani hapo mkuu?

Wizi ule ule, upigaji ule ule,ufisadi kama kawaida,kuvunja sheria na kuisigina katiba inabaki pale pale, sasa jiulize hapa inakuwa imesaidia nini?
 
Back
Top Bottom