Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania wamelewa na Kenya.. hawkers, boda boda riders na omba omba, wanakuja wachache kisha wanaona hela iko wanaitana., ujinga tuondolee kilaza.. mko miongoni mwa nchi tatu hovyo sana Africa kwa ufukara!
Eti mkenya anaita Tz nchi ya hovyo Africa
 
Eti mkenya anaita Tz nchi ya hovyo Africa
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Mbona mnakimbia paradiso, kisha mnaitana, sasa ni Mombasa ndio base ya mifukara kukuja kutafuta maisha, mko hovyo., la sivyo wangebaki huko huko.., see how poor you are?
 
Tatizo quality huwa hamzingatii, hebu jiulize structure kama hiyo inaweza kujengwa ulaya? Mana vitu vikiwa vipya huku kwetu Afrika ndio huwa tunafananisha na ulaya, je nchi zilizoendelea ulaya zinaweza kujenga interchange kama hiyo? Jiulize alafu jijibu mwenyewe.
Unajua maana ya neno "quality" kweli? I doubt kama unajielewa, ama hauna uwezo wa ku express your mind properly, mara "umepanic" now "quality" zezeta kweli😂 😂 😂 😂 😂 kule ulaya they build such and even less than that in their urban and outskirts, wewe hauna exposure,., ama haujui unaongelea nini.,
work in progress...., what is not quality here? kindly describe...., (give a descriptive explanation)..,
1669104514891.png

1669104769974.png

 
Back
Top Bottom