Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiangalia US katiba yao imeanisha mipaka baina ya establishment na the Presidency. Huku kwetu iko grey area between the two, the president ndio kila kitu hata akitaka mke wako utamtoa tuu.

Labda nikupe uhalisia ambao watz wengi hawajui. The president is part of Parliament wielding 50% power. No bill can be made into law kama president hajaridhia, pia the president ndie head wa executive, ukija kwenye judiciary president ana appoint judges. Hii mihimili mitatu inapaswa kuwa independent kwa kusimamia maslahi mapana ya taifa lakini kila muhimili kuna mkono wa Rais sasa balances and checks ziatokea wapi kwa hali kama hii. Tutaburuzwa tuu mpaka kamasi zitutoke.
Hili la bongo sio katiba sijui y wananchi hawashupalii hilii au kwasababu ya uelewa mdogo wa watu maana nchi ina watu akili zao hata mbuzi afadhali
 
Hili la bongo sio katiba sijui y wananchi hawashupalii hilii au kwasababu ya uelewa mdogo wa watu maana nchi ina watu akili zao hata mbuzi afadhali
Mkuu kuwa brainwashed ni kitu kibaya sana. Yaani akili yako inashikiliwa na wajinga kwa ridhaa yako mwenyewe unafikiri ni rahisi kutoka huko kwenye hiyo hypnosis? Propaganda za amani na urulivu zimewapumbaza mpaka hawajitambui.
 
…Kenya tangu waandike katiba mpya, rushwa, Nepotism, usiri ktk kuingia mikataba ya serikali ndiyo imezidi zaidi, Kenya imeingia kwenye hali ngumu ya kiuchumi, kiusalama na kisheria zaidi kuliko ilivyokua kabla ya katiba mpya….
Tena na ukabila sasa ndio umepamba moto kufuatia hiyo katiba mpya.
 
Mkuu kuwa brainwashed ni kitu kibaya sana. Yaani akili yako inashikiliwa na wajinga kwa ridhaa yako mwenyewe unafikiri ni rahisi kutoka huko kwenye hiyo hypnosis? Propaganda za amani na urulivu zimewapumbaza mpaka hawajitambui.
Hujanielewa mi namaanisha y mitanzania haishupalii kuwa na katiba mpya wakati hii iliopo ni upuuzi mtupu..
Inatakiwa katiba mpya tena ambayo haitaandaliwa kimchongo
 
Nginja nginja hata nusu ya hii speed haifikii


kidude kina kaa fala fala hivi, inakaa bwege sana... lakini hio mbio⛷ iko nayo vs huo umbo na sura yake, haziambatani. yaani ina contrast ile mbaya🤣... ni hapo ndo inanichekesha kiasi... 🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20221122-092248_YouTube.jpg
Screenshot_20221122-092327_YouTube.jpg
Screenshot_20221122-092358_YouTube.jpg
 
Chuki chuki tu hapa ndio inamuongoza mtu anachukia kabila zote za Kanda ya Nyanza. Watu wana matatizo mengi vichwani wakati mwingine inabidi upige kimya tu.
Wewe ni mpumbavu! Kukataa miradi ya tembo mweupe si chuki bali kuwa conscious na matumizi mabaya ya rasilimali! Airports zilizopo kanda ya ziwa zinatosha! zifanyiwe maboresho tu!
 
Hujanielewa mi namaanisha y mitanzania haishupalii kuwa na katiba mpya wakati hii iliopo ni upuuzi mtupu..
Inatakiwa katiba mpya tena ambayo haitaandaliwa kimchongo
Wewe hushangai kuona hata vijana wadogo humu ndani wanakuanbia hakuna haja ya katiba mpya halafu reason wanazokupa cannot even hold water. Purely brainwashed generation, mapambio tuu ndio wanaweza sio kudai katiba.
 
Wewe hushangai kuona hata vijana wadogo humu ndani wanakuanbia hakuna haja ya katiba mpya halafu reason wanazokupa cannot even hold water. Purely brainwashed generation, mapambio tuu ndio wanaweza sio kudai katiba.
Anko uchawa unaoendelea unaenda kulivunja hili taifa
 
Watu wa City moja na CBD moja kaeni pembeni, wakati wenu utafika baada ya miaka mia moja.., kisha punguzeni kuomba omba Mombasa The best 007 , mmeanza kukuwa kero kila eneo, tokea CBD hadi kwa estates mmejaa! njoo mfanye biashara sio kuomba omba, duh mnakera!😂😂😂 🔥 🔥 😝
1669096408357.png

1669096432534.png

1669096472562.png

1669096664762.png
 
Back
Top Bottom