instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Nishaachana nayw huyo...yaan anapachukia Bukoba as if sio Tanzania...Mkuu pumzika.. achana na hii mada.. nilitaka kuleta proof (ticket) ya flight kutoka Dar hadi Bukoba directly na return flight ndo ilikuwa ya Bukoba-Mwanza-Dar either ya softcopy (ticket pic) or hardcop (ticket) bahat mbaya nimeikosa... those days nilienda kwa ishu ya substation ipo kibeta. otherwise mtaendelea kubishana na kitu meaningless
Nikiipata bila shaka nitaleta![]()
Kwan kukijengwa Airport mpya Bukoba yeye anapungukiwa nini hapo?
Mimi as long somethings ni uwekezaji tz hata airport ikijengwa huko lindi..it doesn't matter ni maendeleo hao...
Imagine Geza ulole ndo awe mkuu wa mkoa wa kagera..imagine...
Mimi mwenyew na uhakika...bukoba kuna direct flights kutoka Dar Bukoba na return yake...tena kuna msimu kuna kuna zote zile zinazopita mwanza na zile direct to dar bila kupitia mwanza....
Bukoba kuna uwekezani gan wa maana wa serikali..watu wanajitafutia pesa wenyew wanapambana..so hakuna haja ya kuwaonea wivu wakijaza hizo ndege
