Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani Magufuli ndio amedesign hiyo ikulu? mbona kila kitu mnamsingizia yeye?
Vipi machinjio, Meli kubwa Mwanza, SGR amedesign yeye pia, right?


Yeye ndo aliamuru ijengwe ile ya Dar hapo badala ya new design! Ambapo ni upuuzi mkuu! Nchi zenye demokrasia maamuzi hufanyika baada concession! Huwezi jua labda mganga wake alimwambia akijenga ile ya Dar Dodoma atakaa milele!
 
Yeye ndo aliamuru ijengwe ile ya Dar hapo badala ya new design! Ambapo ni upuuzi mkuu! Nchi zenye demokrasia maamuzi hufanyika baada concession! Huwezi jua labda mganga wake alimwambia akijenga ile ya Dar Dodoma atakaa milele!

Toa ushahidi wa hizi claims, please!
 

Have a closer look at the top two countries and tell me what do the two have in common?

Dear fool,

The answer is, land ownership.
Take care of this first muwache kuficha ficha habari.
Screenshot_20221121-081951.jpg
 
Uwanja uko Soweto Moshi, umbali hadi kufika KIA ni kama 40+ KM.... Uwanja huo sana sana unatumiwa na ndege ndogo za Watu binafsi na kampuni za utalii.

Eneo la uwanja pameshajengeka sana... Upanuzi zaidi hauwezekani... Labda kama Watu watahamishw

Kuna siku nilisema humu tujitutumue sgr ifike bkb kwa ajili ya kumvuta mganda aachane na kenya au tugawane mizigo.
Jamaa alipinga vibaya mnoo.

Baada ya miaka kadhaa nikaona anatoa wazo lile lile, nilicheka sana nikamkumbusha.

Kuna hulka ya kuchukia mikoa ya kanda ya ziwa, sisi wa kanda ya ziwa mara nyingi huwa hatuna nongwa miradi ikifanyika sehemu zingine.
East Africa Community ilipoanza tena, kuna baadhi ya wanajumuia walipendekeza makao makuu yawe mza au bkb,
Wale wenzetu wakasema bora hio Community isiwepo kuliko makao makuu kuondolewa kwao.

Mimi ninafikiri wafanye marekebisho ila hata Wakijenga mpya sio mbaya.
Wacha tu miradi ijengwe opportunities zitakuja baadae.

Nina uhakika dodoma Airport na ile ring road hazina tija sana kwa sasa ila acha zijengwe so long as ni Tz.
Mimi kuunga mkono SGR iende Uganda badala ya Kigoma/Burundi au DRC! Iini hiyo? Choice yangu siku zote hiyo ya Uganda kupitia Kagera iwe ya mwisho!

Hivi nyie Nshomiles mbona mnakuwa wazembe namna hii kwenye masuala ya maendeleo? Elimu yenu inawasaidia nn?

Kwa taarifa yako natokea magharibi pia na siafiki Omkanjuguti! Sababu ipo wazi mwaka wa 10 uwanja wa Bukoba wa capacity ya 500,000 hauna daily Dar-Bukoba-Dar flights uwanja nyota ya Mwanza!
Sasa ni mbinafsi wa kipumbavu anaweza ku-support uwanja mkubwa say a million PAX capacity!
 
Have a closer look at the top two countries and tell me what do the two have in common?

Dear fool,

The answer is, land ownership.
they are the most worshiped and adored countries in the continent at the moment. please do research.. as in, rwandese, congolees, nigerians, ugandans and south sudanese are flocking into this country knwn as ke, in their numbers!!.

just recently while i was in busia town, while aboard a nairobi bound bus. i happen to ask one of the staff at booking office, why these days, unlike some few years back, why the bus would get full.! right at the border point!
almost all passengers.. say >90% being ugandans, rwandese, congolese, also a sizable number of burundians (i realized this 90% factor, to be true, the moment, while at ugunja police check point, when the policemen ordered everyone to hold either their kenyan ID or Passport at hand, or if not!... 'out!.. get out of the bus immediately!!'..

91% of the passangers got out! then a few minutes later, i started seeing them start to stream in again, into the bus, one by one...

i heard that, with only 200/- "kinya manne".. u will be able to buy your pass into kenya without any further documentation questioning.. 🤔🤔 and thats how kenyan police are easily compromised at border points these dayz.. the level of corrupt policemen and women

one of the ugandan lady i was seated next to, told me she was going to nairobi as a hse help in the high-end leafy estate of muthaiga. she told me that her sisters and other close relatives are working within various wealthy homes within the same neighbourhood..
hence they had sought a place for her in a neiboughood home whom they also wanted a good house help nanny like 'them'.. and thats why she received a phonecall while she was in the middle of the shamba, digging in her rural parental home in masaka district, that she comes over to nairobi immediately.. "as in, like yesterday!🤣"...
no sooner did she set her foot into that bus.... the rest is History!

and thts how the saga went fox...

she told me that, the rest of ugandans, rwandees etc. in that bus, are also entering into kenya for various opportunities.. and that, unlike in their countries.. opportunies in kenya are so so many, and unlimited. and tht she knws of so many relatives and friend who have made it in life! for just having crossed over and worked in kenya.

nb:
you ll never hear such as a story happen to tanzania, but you ll hear it in countries like south africa, kenya, even countries like ghana. such things happen to only counties tht are perceived to be powerful and influential and unheared off in weaker countries like tanzania, malawi, haiti and afghanistan and so on...

a food for thought tht one fox🤔🤔
 
Mtu mmoja awapopoe hawa jamaa kutumia treni za wakunya wakat pics za treni zetu zilizoekewa orders tayar zipo..
Afu kwa serikal goigoi ya sasa, treni hata zikianza 2025 hakuna shida.
 
Yeye ndo aliamuru ijengwe ile ya Dar hapo badala ya new design! Ambapo ni upuuzi mkuu! Nchi zenye demokrasia maamuzi hufanyika baada concession! Huwezi jua labda mganga wake alimwambia akijenga ile ya Dar Dodoma atakaa milele!
We jamaa unapitia stress sana katika maisha yako....unakuwa sadist sasa...

Hebu tafuta solution aisee
 
they are the most worshiped and adored countries in the continent at the moment. please do research.. as in, rwandese, congolees, nigerians, ugandans and south sudanese are flocking into this country knwn as ke, in their numbers!!.

just recently while i was in busia town, while aboard a nairobi bound bus. i happen to ask one of the staff at booking office, why these days, unlike some few years back, why the bus would get full.! at border the point! almost all passengers.. say >90% being ugandans, rwandese, congolese, also a sizable number of burundians (i realized this 90% factor! to be true, the moment, while at ugunja police check point, when the policemen ordered everyone to hold either their kenyan ID or Passport on hand, and if not so, ... 'then get out of the bus immediately!!'.. 91% of the passangers got out! then a few minutes later, i started seeing them starting to stream in back again into the bus one by one... i heard that, with only 200/- kenya money.. u will be able to buy your pass into kenya without any further documentation questioning.. 🤔🤔 and thats how kenyan police are easily compromised at border points these dayz.. the level of corrupt policemen and women

one of the ugandan lady i was seated next to, told me she was going to nairobi as a hse help in the highend leafy estate of muthaiga. she told me that her sisters and other close relatives are working within various wealthy homes within the same neighbourhood..
hence they had sought a place for her in a neibough home whom they also wanted a good house help nanny like 'them'. and thats why she received a phonecall while she was in the middle of the shamba, digging in their rural parental home in masaka district, tht she comes over to nairobi immediately.. "as in, like yesterday!🤣"...
no sooner will she set her foot into that bus.... the rest is History!

and thts how the saga went fox...

she told me that, the rest of ugandans, rwandees etc. in tht bus, are also entering into kenya for various opportunities.. and that, unlike in their countries.. opportunies in kenya are so so many, and unlimited. and tht she knws of so many ralatives and friend who have made it in life! for just having crossed over and worked in kenya.

nb:
you ll never hear such as a story happen to tanzania, but you ll hear it in countries like south africa, kenya, even countries like ghana. such things happen to only counties tht are perceived to be powerful and influential and unheared off in weaker countries like tanzania, malawi, haiti and afghanistan and so on...

a food for thought tht one fox🤔🤔

What are they going to eat, chameleon soup and potatoes?

 
Back
Top Bottom