Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

a feel good response, ilimradi tu.., ukweli uko pale pale, we will rule EAC till the end of the world., na mtaendelea kukuja kutafuta hela Kenya., zoea mapema, kauli yako haitabadilisha akili ya watanzania walio wengi, jipende mlivyo usione haya, inauma ila ndio hivyo...., yaani ata omba omba wanawakimbia, kweli mikono mitupu haulambwi
Tanzania ndiyo the biggest source of remittance for Kenyans hilo ulijue, na hakuna siku itatokea Kenya iwe source of remittance for Tanzanians, never ever.
 
Tanzania ndiyo the biggest source of remittance for Kenyans hilo ulijue, na hakuna siku itatokea Kenya iwe source of remittance for Tanzanians, never ever.
Yaani tunawatafuna: sisi Kenyans pamoja na Indians and Arabs na wazungu wachache, na pia wale Watanzania wachache walio chanuka.., elewa hilo upone, sisi sio omba omba but opportunists, elewa tofauti kilaza, inauma najua ila ndio ukweli, 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Huwa napenda mkenya akipanic kama wewe, pia napenda kuona matatizo yenu hayaishi
Matatizo duniani hayaishi, wacha kujitoa ufahamu, kwa sasa taifa lenu ni vilio tupu, mara umeme, ukosefu wa maji, bei ya bidhaa kupanda, kukosa hela, utapia mlo, ilhali serikali yenyewe ni hafifu kiuchumi, mko hovyo., peleka huu ujinga wako jukwaa lenu la siasa uone., hauniambii lolote wewe, Tanzania ni nchi ya watu wengi hovyo kuwai tokea Africa!! rasilmali kibao na bado ni mifukara wa kutupwa, huo si ni ujinga kama sio laana!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Yaani tunawatafuna: sisi Kenyans pamoja na Indians and Arabs na wazungu wachache, na pia wale Watanzania wachache walio chanuka.., elewa hilo upone, sisi sio omba omba but opportunists, elewa tofauti kilaza, inauma najua ila ndio ukweli,
Wakenya wachache waliosoma ambao ni cream wanakuja Tz tunawaajiri, tunawapigisha kazi ngumu alafu tunawalipa pesa kiduchu wanarudisha kwenu ili nyie Wakenya wengi fukara ambao hamjasoma mpate kula na kwenda kwa choo, lkn hao Wakenya cream wanatusaidia kujenga nchi yetu.

Yani Wakenya wachache waliosoma wanakimbilia ulaya na hapa Africa nchi yao pendwa ni Tanzania, ndio ulaya yao, ila nyie makajamba nani kazi yenu kukesha mitandaoni na kuongopa ongopa mko vzr na kingereza chenu mlichojigunza tuition kumbe hamna lolote, dada zenu nyie makajamba nani wakija bongo wanaishia kuwa malaya hapa Dar na kule Zanzibar, poleni sana
 
Matatizo duniani hayaishi, wacha kujitoa ufahamu, kwa sasa taifa lenu ni vilio tupu, mara umeme, ukosefu wa maji, bei ya bidhaa kupanda, kukosa hela, utapia mlo, ilhali serikali yenyewe ni hafifu kiuchumi, mko hovyo., peleka huu ujinga wako jukwaa lenu la siasa uone., hauniambii lolote wewe, Tanzania ni nchi ya watu wengi hovyo kuwai tokea Africa!! rasilmali kibao na bado ni mifukara wa kutupwa, huo si ni ujinga kama sio laana!!
Tanzania ina rasilimali nyingi na ndiyo maana tulianzisha miradi mingi kwa wakati mmoja pasipo kuomba omba misaada kama nyie, muda mwingi tulitumia ku liberate nchi nyingi za Afrika lkn tulipoanza kujenga miundombinu ya kweli ikatuchukua miaka mitano tu kuziacha nchi zote maskini za hapa EA
 
Wakenya wachache waliosoma ambao ni cream wanakuja Tz tunawaajiri, tunawapigisha kazi ngumu alafu tunawalipa pesa kiduchu wanarudisha kwenu ili nyie Wakenya wengi fukara ambao hamjasoma mpate kula na kwenda kwa choo, lkn hao Wakenya cream wanatusaidia kujenga nchi yetu.

Yani Wakenya wachache waliosoma wanakimbilia ulaya na hapa Africa nchi yao pendwa ni Tanzania, ndio ulaya yao, ila nyie makajamba nani kazi yenu kukesha mitandaoni na kuongopa ongopa mko vzr na kingereza chenu mlichojigunza tuition kumbe hamna lolote, dada zenu nyie makajamba nani wakija bongo wanaishia kuwa malaya hapa Dar na kule Zanzibar, poleni sana
Nyie ndio makajamba EAC, bora hilo liko wazi sana.., hamjui mengi, mpo mpo tu mmezubaa ata ndani ya nchi yenu tunawatafuna tu.., fursa tunawanyang'anya, Magufuli alijaribu kuwaokoa kwa vile ata positions za juu za kuongoza makampuni na organizations ni wakenya walikua wanapata kirahisi sana, ata zile ndege la Precision, pilots wengi ni wakenya😂😂😂😂😂 unajitia hamnazo eti, sasa Magufuli hayuko tena, mama amefungua milango tutawatafuna hadi basi, zoea mapema kwa vile matokeo utayaona mwenyewe na utaumwa zaidi.., nyie ni makajamba kweli, umenipatia jina nzuri linalo wafaa sana, MAKAJAMBA mikwara mazezeta., majina yanayo wa describe kabisaaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ..,
 
Tanzania ina rasilimali nyingi na ndiyo maana tulianzisha miradi mingi kwa wakati mmoja pasipo kuomba omba misaada kama nyie, muda mwingi tulitumia ku liberate nchi nyingi za Afrika lkn tulipoanza kujenga miundombinu ya kweli ikatuchukua miaka mitano tu kuziacha nchi zote maskini za hapa EA
CAG waliumbua huu ujinga unao andika humu, nenda ukadanganye makajamba wenzako sio mimi, uchumi hafifu, pato kidogo mahitaji mengi watu wengi, results: ufukara tupu, miradi haikwishi, hela hakuna😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
CAG waliumbua huu ujinga unao andika humu, nenda ukadanganye makajamba wenzako sio mimi, uchumi hafifu, pato kidogo mahitaji mengi watu wengi, results: ufukara tupu, miradi haikwishi, hela hakuna
Miradi haiishi? unaweza ukanitajia japo mmoja? Alafu ukae ukijua sisi ndio tunaofanya miradi yenye gharama kuliko nchi yoyote hapa EA, yn gharama ya miradi tunayofanya Tz ni sawa na uchukue gharama za vimiradi vyote vinavyofanywa na nchi zote za EA na bado haitoshani, ukitaka ushahidi sema nikupe
 
Miradi haiishi? unaweza ukanitajia japo mmoja? Alafu ukae ukijua sisi ndio tunaofanya miradi yenye gharama kuliko nchi yoyote hapa EA, yn gharama ya miradi tunayofanya Tz ni sawa na uchukue gharama za vimiradi vyote vinavyofanywa na nchi zote za EA na bado haitoshani, ukitaka ushahidi sema nikupe
Matokeo ya kukurupuka na miradi na uwezo hamuna, pesa ya kugaramia mtoe wapi, ndio maana mnafanya kwa mwendo wa kobe, mkihujumu sectors zingine.., kopa mmalize miradi, nyie ni mifukara bado.., SGR kilometers chache hadi waleo haijaanza kazi, kujenga ka flyover tu in Dar inawachukua zaidi ya mwaka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., nenda ukadanganye makajamba wenzako wasio elewa economics ya infrastructure development., taifa mingi hapa Africa ziko na plans kubwa zenye zinahitaji mabillioni ya dollar, haimaanishi wako na hizo hela cash., wewe ni boya sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Matokeo ya kukurupuka na miradi na uwezo hamuna, pesa ya kugaramia mtoe wapi, ndio maana mnafanya kwa mwendo wa kobe, mkihujumu sectors zingine.., kopa mmalize miradi, nyie ni mifukara bado.., SGR kilometers chache hadi waleo haijaanza kazi, kujenga ka flyover tu in Dar inawachukua zaidi ya mwaka .., nenda ukadanganye makajamba wenzako wasio elewa economics ya infrastructure development., taifa mingi hapa Africa ziko na plans kubwa zenye zinahitaji mabillioni ya dollar, haimaanishi wako na hizo hela cash., wewe ni boya sana
Nimekupa bonus utaje ni mradi gn umesimama umeshindwa, pia ukae ukijua the only electrified SGR in East Africa ina urefu wa zaidi ya km 1200 na ndiyo electrifitried SGR ndefu zaidi Afrika, yn miradi tunayofanya sisi ingekuwa nchi maskini kama Kenya au Uganda basi asilimia kubwa ya raia wangekufa mana pesa yote serikalini ingeenda kuhudumia miradi but we are the Giant of this region, nchi yetu tajiri usijiongopee na takwimu uchwara za mitandaoni, mambo yapo ground nadhani mnaona wenyewe.
 
Fungua kanisa, haya yanafaa Sana ukiyasema kanisani, huku habari ya Mungu hatukuelewi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
bro.. hapa, kidogo hauja ni bamba.. aky walai..
yani hapa, leo..
si siri.. umeni booo 🖐🏽!!

tu na venye, nlikua nakulovotovi.. sawa tu

enway, kwa sasa, acha bado ni try kukupima, nishikanishe, nicheki venye rada ama form yako ni gani.. 🤔🤔

enway, ni sawa.. haina ngorii.. haina wass..
 
the 'New Kileleshwa+Kilimani' is the new east african 'SunCity' or the new east african 'BeverlyHills' where the exclusively rich and the untouchable reside..

see for yourself 👇🏽

 
Nimekupa bonus utaje ni mradi gn umesimama umeshindwa, pia ukae ukijua the only electrified SGR in East Africa ina urefu wa zaidi ya km 1200 na ndiyo electrifitried SGR ndefu zaidi Afrika, yn miradi tunayofanya sisi ingekuwa nchi maskini kama Kenya au Uganda basi asilimia kubwa ya raia wangekufa mana pesa yote serikalini ingeenda kuhudumia miradi but we are the Giant of this region, nchi yetu tajiri usijiongopee na takwimu uchwara za mitandaoni, mambo yapo ground nadhani mnaona wenyewe.
Unaota ndoto mchana, uwezo mtoe wapi? ata mkopo mnapewa shingo upande kwa vile mnashindwa kulipa madeni sana, so usinihadithie plans on paper, maliza miradi kisha uje.., itawachukua miaka mingi mno.., by that time Kenya itakua level nyingine.., niondolee huu upuzi ulio jaza kichwani mwako.,
 
Tanzania ndiyo the biggest source of remittance for Kenyans hilo ulijue, na hakuna siku itatokea Kenya iwe source of remittance for Tanzanians, never ever.
Wewe soja hakuna kitu unajua. You are not even ashamed ati hadi Burundi is among your biggest source of remittance. Kwanza remittance enyewe ni $189M, ya Kenya ni $3.9B.
Screenshot_20221116-181524_1.jpg
 
Fungua kanisa, haya yanafaa Sana ukiyasema kanisani, huku habari ya Mungu hatukuelewi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
so you are an Atheist⚛ like barak obama, or even raila's daughter winnie for instance...

🤔🤔 ok.. nipoa kujua hivyo leo..

but ujue huku kenya, kuna unyanyapaa kali🔥 dhidi ya watu kaa wewe atheist
 
Back
Top Bottom