Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm nakwambia Wakenya wengi wanajuta kuwa Wakenya na ndiyo maana wengi wenu mnawaza kutoka nje ya Kenya kwenda mahala pengine mfano USA au Tz kwa hapa Africa. Hakuna Mkenya asiyependa kuwa mtz sema ndiyo hvyo tena haiwezekani, wengi wenu mkija Tz hamtaki kurudi kwenu, ukiuliza utaskia Mkenya anasema Tz tamu ina sehemu nyingi za starehe na pia ina mazingira mazuri.

Ni kweli Tz ni tamu lkn Wakenya wengi mnapenda kuzamia nchi za watu mfano USA na Tz kwasababu wengi wenu hamjaridhika kuwa Wakenya na hamuipendi Kenya.
Usijitekenye, njoo Kenya uchukue wenzako wanaikimbia hiyo "paradiso" iliyo tu ndani ya akili zako.., kujidanganya na kujitekenya to feel good hujambo, mko hovyo, usijitoe ufahamu mjukuu😂😂😂😂😂😂😂, pale Tz we go for starehe, just like any other poor country na kuwatafuna kwa ujinga wenu, taking advantage, nyie malofa uwezo wa kuzunguka dunia hamuna, mmeganda tu Tz, clueless and zero exposure 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Pata elimu uelewe dunia imekua a global village, to succeed in life u have to think global kilaza, la sivyo utakufa fukara kama mababu zako., they were limited..., so Tanzania, uganda, Rwanda, Burundi fursa ikijipa tunaichangamkia kwa haraka.., naona waganda pia wameamka, kule South Sudan wana compete na wa Kenya kwa fursa ya kuchuma hela, Tz zero, ndio maana wengi mnabakia mifukara wa kutupwa ukanda huu na SADC.., wale waTz walio chanuka utawapata Kenya, SA, na pia Uganda wakifanya biashara, wanaleta mali na kuuza, ndio wenye hela na maendeleo, wewe umeganda kwa airport ukifanya "ulinzi" (blue collar job) not even white, mtumwa nchini kwake 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂, , the day you retire hauna anything ya maana ya kuonyesha eti ulikua unafanya kazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂 think outside the box mjukuu, jiangalie mlivyo maboya, poleni nawaombea muone mwangaza 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

Omba omba wenu wako na nafuu kukuliko, wanatafuta pesa ya Kenya, hiyo yenu ya madafu wanaikimbia, haiwasaidii 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Burret trains=bullet trains
1668587506005.png
 
Dimwits😂.., hii pia niko na uhakika hataelewa, dealing with most Tanzanians here lazima u come down to their level of reasoning😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂 I won't be surprised... Hawaezi keep up na the rest of the globe...
 
Angalien kona kona kwenye flyover.
Afu hapa BRT itapita chin sio juu kwenye flyover


Pia, kwa pitapita zangu pale tazara, nimenotice BRT itapita chini. Haitajengwa flyover nyingine juu for BRT lane
Hiyo flyover yote inatakiwa kuvunjwa kabisa hapo ni mjini kabisa ilipo jengwa ,hivyo ilitakiwa kujengwa flyover ya kisasa kabisa tena ukizingatia hiyo barabara ni mlango wa taifa
 
20221116_084353.jpg

Check out the office of the Cabinet Secretary for Trade Moses Kuria...Mombasa Governor Shariff Nassir paid him a courtesy visit, I just love the greenery mahnn
 
Katika vitu ambavyo wakenya huwa wanaviogopa kujadili ni uchafu wa nchi yao na majengo kuporomoka huwa wanapita kimya kimya na wanakuwa wadogo kama piriton,hawawezi kutoa ushauri kwa viongozi wao, halafu wanajiita nchi ya demokrasia wakati kuongelea vitu vya msingi wanaogopa [emoji2955][emoji2955][emoji52]
 
Kumbe naharibu wakati wangu kubishana na mwenye hata hajui meaning ya Sarcasm [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo mwanzo uliandika hivi ulivyoandika sasa hivi,ulikosea mara mbili bwana ,kuwa muungwana hata computer huwa inakosea maan imetengenezwa na mwanadamu.
 
Back
Top Bottom