Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Anha ndo nimesema kwa Ubungo na Sam njuoma road.Itakuwa lane za chini zitatumika mfano kwa BRT zinazotoka Buguruni kuja magomeni mfano.Pale ubungo mnaiongeleaje huo muungano, brt ya sam numoja road na mandela road zitakapojengwa au ndo ile inaingia kama unaenda mawasiliano kuelekea bus terminal ya zaman
La sivyo inabidi zicross BRT kwa juu ile flyover zije ziingilie pale Simu 2000 zitokee Ubungo terminal.
Kama wakiweka flyovers itabidi after few meters waweke U-Turn roads kwa BRT kubadilisha routes


jua haitawai angaza tena duniani kwa karne zingine mbili zijazo..
