Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fencing
FB_IMG_1668613702952.jpg
 
Unaota ndoto mchana, uwezo mtoe wapi? ata mkopo mnapewa shingo upande kwa vile mnashindwa kulipa madeni sana, so usinihadithie plans on paper, maliza miradi kisha uje.., itawachukua miaka mingi mno.., by that time Kenya itakua level nyingine.., niondolee huu upuzi ulio jaza kichwani mwako.,
Kwa hapa East and Central Africa hakuna mbabe zaidi ya Tanzania linapokuja suala la thamani ya miradi inayofanyika, kwa takwimu ni kwamba ukijumlisha thamani ya miradi inayofanyika Uganga, Kenya, Rwanda, Burundi na South Sudan haifikii thamani ya miradi inayofanyika Tanzania hata ulie hamuwezi kutupata kwenye sekta hiyo hata mroge
Screenshot_20220614-185219.jpg
 
Haha. Ata wakipanda miti ipe 20 years ifanane na a real State House.
Government should not have shortage of green land. Sijui mbona walichagua jangwa.

Machakos Governor's office any day.

Dodoma
View attachment 2418772

Machakos
View attachment 2418773

View attachment 2418775
Kwamba Dodoma ni jangwa kuliko Dubai, kwnn Wakenya mnakosa plan B kabisa kwenye fikra zenu? Ndio maana mpk leo mnalalamika ukame kiasi kwamba mnapewa msaada wa chakula na nchi zenye jangwa kuliko nchi zote duniani, Dubai hii hapa
1668615477423.jpg
 
Nimekwambia kwa hapa Africa Tanzania ndiyo the biggest source of remittance for Kenyans, accept that zen move on.
Mtakosaje kuwa the biggest source of remittance for Kenya when there are 500 plus Kenyan companies that employs those Kenyans who bring back money home. Uoni hata akili ya reasoning hauna?
 
It looks like a school. Tanzania mko na ukosefu mkubwa wa architects.
Statehouse bila ata greenery. Just vast bland halls without character.

Even Utalii College being built in Mombasa has more vibe than this. 🤣 🤣 🤣

View attachment 2418760View attachment 2418761View attachment 2418762View attachment 2418763View attachment 2418764View attachment 2418765
Don't even talk about architects cause hiyo Statehouse was 100% copied from the white architect who designed Dar is slum statehouse in the 19th Century.
 
Mtakosaje kuwa the biggest source of remittance for Kenya when there are 500 plus companies that employs those Kenyans who bring back money home. Uoni hata akili ya reasoning hauna?
Kampuni 500 ambazo zimewekeza only $1 bn ndio ziajiri Wakenya wengi kiasi cha Tanzania kuizidi SA kwa nchi zinazowapa Wakenya remittance? Na kwenye hiyo _$1 bn ondoa benki ya KCB ambayo imewekeza karibu nusu ya hyo pesa, so hiyo inayobakia ndiyo hizo kampuni nyingine zinagawana, sasa utaita hzo kampuni au uchafu?

Wakenya wengi wameajiriwa hapa Tanzania kama walimu na asilimia kubwa wanatundisha kindergarten usitake kujifanya hujui hilo
 
Kampuni 500 ambazo zimewekeza only $1 bn ndio ziajiri Wakenya wengi kiasi cha Tanzania kuizidi SA kwa nchi zinazowapa Wakenya remittance? Na kwenye hiyo _$1 bn ondoa benki ya KCB ambayo imewekeza karibu nusu ya hyo pesa, so hiyo inayobakia ndiyo hizo kampuni nyingine zinagawana, sasa utaita hzo kampuni au uchafu?

Wakenya wengi wameajiriwa hapa Tanzania kama walimu na asilimia kubwa wanatundisha kindergarten usitake kujifanya hujui hilo
Tanzania remittance to Kenya is only $39M. Hata huna aibu kujigamba kuhusu $39M. That's not even 1.1% of what Kenya gets from remittance 😂😂
 
Tanzania remittance to Kenya is only $39M. Hata huna aibu kujigamba kuhusu $39M. That's not even 1.1% of what Kenya gets from remittance
Pesa ya miezi mitatu ndio unaweka hapa, leta ushahidi kwamba mnapokea kiasi hicho from Tz ili niondoke jamiiforums
 
Matokeo ya kukurupuka na miradi na uwezo hamuna, pesa ya kugaramia mtoe wapi, ndio maana mnafanya kwa mwendo wa kobe, mkihujumu sectors zingine.., kopa mmalize miradi, nyie ni mifukara bado.., SGR kilometers chache hadi waleo haijaanza kazi, kujenga ka flyover tu in Dar inawachukua zaidi ya mwaka 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., nenda ukadanganye makajamba wenzako wasio elewa economics ya infrastructure development., taifa mingi hapa Africa ziko na plans kubwa zenye zinahitaji mabillioni ya dollar, haimaanishi wako na hizo hela cash., wewe ni boya sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwamba SGR ni km chache, niambie nchi moja duniani inayojenga electricfied railway ya km 1800, unafikiri tunajenga reli inayoishia Suswa sisi?
 
Back
Top Bottom