Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tume export $8B last year
Screenshot_20221103-111110_Twitter.jpg
 
Kuondoa watu kwenye umaskini si Dhana nyepesi kama unavyodhani...

Naona serikali imeondoa karo kuanzia primary hadi advanced level...hapo tayari mtoto wa masikini anaweza kusoma ni yeye tu kupambana (illiteracy itapungua)

Uyo masikini amejengewa disp ili akiugua aweze kupata huduma ya matibabu ambapo endapo angeikosa labda angekufa kwa malaria ama pneumonia...(life expectancy itaongezeka)

Miundombinu ya msingi inaboreshwa kama barabara za lami ama zege hapa kuongeza uhakika wa kufanya biashara na kusafiri( income itapanda ya m2 m1 m1)

Muhimu zaidi ni kutafuta investors ili expert wapate ajira rasmi wale ambao government haiwezi kuwaajiri apa ni katika kupunguza (unemployment)

Naona kama watakazana vizuri tutafika tu pazuri considering pop growth ni 3% na gdp growth ni 5%
Most countries in sub-Saharan Africa have done those or are working on them, lakini wapi, sasa wazembe ukiwatengenezea barabara na akili zimezima unategemea mabadiliko gani?, population kubwa pato kidogo, change will take ages, for a fast change as Tz u will need software change, yaani mindset shift ya mibongolala..., reasoning ya wenzako wengi humu ni dhihirisho u have a long way to go..,
 
Most countries in sub-Saharan Africa have done those or are working on them, lakini wapi, sasa wazembe ukiwatengenezea barabara na akili zimezima unategemea mabadiliko gani?, population kubwa pato kidogo, change will take ages, for a fast change as Tz u will need software change, yaani mindset shift ya mibongolala..., reasoning ya wenzako wengi humu ni dhihirisho u have a long way to go..,
Manake hata kenya pia ni waathirika usisahau ilo
 
Most countries in sub-Saharan Africa have done those or are working on them, lakini wapi, sasa wazembe ukiwatengenezea barabara na akili zimezima unategemea mabadiliko gani?, population kubwa pato kidogo, change will take ages, for a fast change as Tz u will need software change, yaani mindset shift ya mibongolala..., reasoning ya wenzako wengi humu ni dhihirisho u have a long way to go..,
😂😂😂😂😂😂💯
 
Hili ndio tatizo lenu wakenya, mbona Uhuru Kenyatta alipokwenda Jamaica na Barbados alikodi Gulf stream ya pesa nyingi hakutumia ndege yake chakavu? Muda mwingi mnadhani mkifanya jambo n8 sahihi.

Kwa taarifa yake, Kenya inapoteza pesa nyingi kugharamia gharama za viongozi kuliko nchi yoyote hapa Africa

Sisi Tanzania tunamlalamikia rais wetu kwa tabia yake ya kupenda kusafiri Sana, wewe unashabikia ununuzi wa ndege ya rais ili aendelee kuzurura duniani, ndio sababu Rutto alitembelea nchi 5 ndani ya wiki mbili tangu kuapishwa kwake na bado mnamsifia. We are different indeed
haya yote kuhusu kenya uliyajulia wapi? 🤷🏽‍♂️🤔🤔

ata mm mwenyewe sijui ni ndege gani uhuru, alitumia kuvuka jomieca.

so kila mara tunapo sema wabongo mnafuatilizia sana kuhusu mambo ya ndani kinachoendelea humu nchini ata kuliko wakenya wenyewe, sio utani wala uchokozi, bali huo ndo ukweli wa mambo, na utazidi kugidhiri!. naujue hili tabia halikuanza jana

hivi ile list ya google trends iliyotolewa na google kuhusu kile nchi flani ilikua ina search kuhusu nchi nyingine flani zaidi, haikua porojo..

yani wabongo nyinyi mnapenda sana kenya nyinyi watu.. semeni tu ukweli. 😀😀

mbona kenya akilini mwemu 24/7.! aa? 🤔🤔🤔
 
Ndege ya rais ipo na inafika popote duniani hapa, ni inferiority complex tu ilimsumbua.
Kuna wakati wazeni branding,Ndege yetu ya Rais ni ndogo kulinganisha na clue nzima.Pia ulimwengu unapaswa kujua kua Africa inapiga hatua sio Kila siku kujionesha Nini maskini.Tunahitaji kuwaza makubwa zaidi.Muhimu ni kama ziara itakua na faida kwetu.Kumbuka Kuna bidhaa sisi hatuna bilateral Agreement tukiipata hiyo gharama za Ndege zinakua ndogo sana Leo wakenya watumia parachichi yetu kujinufaisha china cause we don't have Export Agreement na china kwenye Hil😵utcome ya ziara ndio ituambia tunafaidika au la
 
Angalieni akili za, wakunya

Hakuna manufacturing kabisa wala value addition projects kwenye akili zao, njaa haitakaa iwaache kwa akili hizi

Mabati rentals 😂😂😂😂 slums in their brains

 
Wewe Mzee ulikuwaga vuvuzela na muwashiwashi Sana wa SSH,naona baada ya kupigwa chini kwenye uteuzi unafanya maigizo Sana..

Kwa Taarifa Yako hakuna ziara ya Mama amefanya Nje ya Nchi ikaleta hasara kuliko costs anazotumia kwenye safari zake..

Mathalani alipokwenda Marekani kuzindua Royal tour tumeona Watalii wa kigeni wengi wao Sasa wanatoka Marekani na pia tulipata soko la kuuza processed korosho na tayari uuzaji wa kwanza umeanza
Tuonyeshe faida vs gharama za safari za SSH
1)USA
2)Ufaransa
3)Dubai
4)West Africa
5)Oman

Wacha kuimba pambio
 
Tuonyeshe faida vs gharama za safari za SSH
1)USA
2)Ufaransa
3)Dubai
4)West Africa
5)Oman

Wacha kuimba pambio
1.Faida ya USA tayari nimeeleza hapo juu sirudii..

2.Ufaransa watajenga Terminal 111,

3.Dubai inaikopesa serikali bil.979,

4.West Africa-Serikali ilipata ruhusa ya kuanza kupeleka bombadia zetu huko deadline ni mwakani..japo ziara ya West Africa haikuwa ya kiserikali rasmi..

5.Oman watakarabati Uwanja wa KIA,watatoa pesa kwenye umeme n.k👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-122356.png
    Screenshot_20221103-122356.png
    121.6 KB · Views: 8
Kuna wakati wazeni branding,Ndege yetu ya Rais ni ndogo kulinganisha na clue nzima.Pia ulimwengu unapaswa kujua kua Africa inapiga hatua sio Kila siku kujionesha Nini maskini.Tunahitaji kuwaza makubwa zaidi.Muhimu ni kama ziara itakua na faida kwetu.Kumbuka Kuna bidhaa sisi hatuna bilateral Agreement tukiipata hiyo gharama za Ndege zinakua ndogo sana Leo wakenya watumia parachichi yetu kujinufaisha china cause we don't have Export Agreement na china kwenye Hil😵utcome ya ziara ndio ituambia tunafaidika au la
Unaongea mambo tofauti na tunayohoji hapa, hatujasema hatujui alichoenda kufanya bali tuna ask why aende na dege kubwa vile mtu mmoja na baadhi ya watu wawili wa tatu? Kulikuwa na ulazima gn afanye hivyo wkt ndege ya Rais nzr ipo na tuliinunua kwa mabilioni ya shilingi?
 
Back
Top Bottom