tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Wagunduzi namba moja africa

Wagunduzi namba moja africa

Therefore your leaders are stupid people than you, they know nothing about the problem of hunger in Kenya, because they are requesting international community to donate food instead of improving your logistic chainKenya has a logistics problem, not a food problem.
Majority of those in hunger have refused to civilize and live next to population centres.
Karibu theluthi wamehama kutoka Dar ya hio 1MOngezeko la watu mkoani DODOMA ni kubwa sanaView attachment 2403478ongezeko la watu milioni moja in just 10 good years ..
Apa kwangu anakura mbili kati ya wapiga kura wawili.unajaribu kuwasemea watu eeh hata Jpm watu walimchukia sana lakini alipita tenaKwenye angle ya kisiasa hakuna huyu mama anapokubalika hata sehemu 1,ni ukweli unavyosema Dodoma ndio hawataki hata kumuona, mikoa ya Lake Zone ipo hapo juu kuanzia Mwanza, Tabora, Geita (Kagera na Mara) hatoboi hata hivyo wenye ccm yao nao hawamwelewi kumbuka fununu za waziri anaeutafuta urais 2025
Ukiachana na njaa pia Kenya haifikiki haina miundombinu, inashangaza kuona mkitumia helicopters kufika kwenye counties ndani ya Kenya sababu hakuna barabara za kufika huko, Tanzania kubwa mara 2 yenu hakuna wilaya isiofikika kwa gari.Kenya has a logistics problem, not a food problem.
Majority of those in hunger have refused to civilize and live next to population centres.
Nairobi metropolitan ni CBD yenu, unataka kusema kile kieneo finyu vile kina watu idadi hiyo? Ndio maana mna slums kila angleDar es Salaam province has only 5.3 million people?
Na mbona huwa tunadhani Nairobi has the lower population.
Wider Nairobi (Nairobi metropolitan) has 9.3 million people.
Hizo ni city/town population
Yes it'sIs Tanzania still a lower middle income country? Considering the rapid rise in population relative to a slower economic growth? Does the new per capita income meet the threshold?
Ile regime ya JPM imetuharibu sana kwa kudhani mtu mmoja anaweza tatua matatizo ya watu 61.7M bila ya kushirikisha wengine...lakini siwezi kushangaa sana watanzania tunatumia sana yakuambiwa hatupendi kujiongezaIla waafrika tutakuja kundelea ila kwa mbindee sana aise yani kila siku makongomano na mikutano ya serikali haisha ,hela nyingi zinapotea kwenye ushubwada alafu utekelezaji upo very slow au hakuna kabisa mambo haya yanakera mpaka basi
Kwani kwenye budget hakuna vikao?ni sahihi visiendekezwe lakini ni vya lazima wakati fulani
Ndio unavyojifariji wewe kenge,mlishaunda chama chenu mkaweka na picha ya dhalimu vipi mumeishia wapi? 😁😁..Mama intellectually ni zero!
Walimwaribia kwa kumpanga amponde Magufuli jambo ambalo limwebackfire mno, ukijumlisha na style ya uongozi ya Vijana wa Mjini wakina Makamba na Nape wanavyoharibu, ukicheki Nchemba nae wote hawa wamemvuruga mama kwa mno. Lipo lipo tu na Ushungi wake, ngoja aone come 2025!
Hela nyingi sh.ngapi? Wale mlipokuwa hamfanyi semina mbona hakuna hata mradi mmja mlikamikisha?Hela nyngi zinaishia kwenye masemina tuu daah😅