Crystal Rivers ambayo nimepost hapo juu zinamilikiwa na Mkenya
Riverbank Apartments nimepost hapo juu zinamilikiwa na Mkenya
Greatwall Aprtments ambazo nimepost zinamilikiwa na mwekezaji Mchina lakini hizo ni nyumba za tenant purchase scheme na za mortgage,
Yani unalipa rent lakini ndo polepole unanunua nyumba kabisa, baada ya miaka 12, 15 au 20, wewe ndo mmiliki wa nyumba 100% kwahivyo hata zile apartments unazodai ni Mali ya wazungu na wahindi, Baada ya miaka kumi hadi ishirini zote zitakua ni nyumba za wakenya 100%. System ya tenant purchase scheme inawezesha alie hana uwezo wa kukohoa mamilioni ya pesa kwa mpigo kumiliki nyumba baada ya miaka kadhaa...
Hata zile nyumba mpya za Kibera mulizokua mnacheka ati zinajengwa na mzungu, hizo ni nyumba za serekali, mwekezaji ni mzungu. Serekali itampatia mzungu shamba, mzungu atajenga akimaliza atakusanya kodi ya nyumba kwa miaka ishirini, baada ya miaka ishirini umiliki wa nyumba 100% utaenda kwa wanaolipa kodi.
Najua haya ni mambo ambayo akili yako fupi haiwezi kuelewa, lakini kwa kukuelezea wewe, naelezea pia wenzako ambao wanapita kimya kimya, najua kuna wengine wataelewa
So what is a tenant purchase scheme?
What is a tenant purchase scheme?
A tenant purchase scheme is simply a house-ownership plan which allows a tenant to purchase the flats/residence they have rented.
Under the arrangement, the rent you pay goes towards redeeming the purchase price and the house title is transferred to you as soon as you pay off the whole amount.
In most cases, youโll first agree with the developer on the period and interest rate.
All you have to do after this is to pay your agreed monthly rent to cover the balance.
If youโre looking for a convenient and perhaps a cheaper way of owning a home, you should consider going for any tenant purchase scheme in Kenya.
wikitionary254.com
----------------------------------------------------------
Kwahivyo hii system tunayotumia kujenga Affordable Housing Project haina tofauti na kama vile nilivyo waelezea kuhusu expressway ikijengwa kama PPP.
Tofauti hapa ni mwekezaji anajenga nyumba alafu anaingia mkataba wa loan na mpangaji nyumba, mpangaji nyumba akilipa kodi ya mwezi ndo analipa deni hadi ule wakati atakapo maliza kulipa + interest, baada ya hapo mkaazi wa ile nyumba anamiliki 100% na mwekezaji atakua aliregesha hela zake na akatengeneza faida..
Kama unataka kujua zaidi kuhusu hii system ya umiliki wa affordable housing inkia kwa hii tovuti ya serekali ambapo mkenya yoyote anaweza ku apply kumiliki hizo nyumba
The Boma Yangu platform is the gateway into the Affordable Housing Program. Start your journey towards home ownership. Fulfil your dreams by letting us help you achieve your home ownership goals.
bomayangu.go.ke