Mim naangalia ishu ya uchaguzi.. kanda ya ziwa na Dar ndo wa kuamua upepo wa mgombea rais 😄..Tofauti ya idadi ya watu Dar na mji unaofuata ni watu million 1 (interesting) kunyaland idadi ya watu Nairobi na Mombasa tofauti yake ni zaidi ya watu million 3 hii inaonesha namna Nairobi ilivyo the last hope for kunyalanders na namna counties nyingine zilivyo hovyo!
naona unajaribu, kuji console kwelikweli..Yani Mnuka mavi masaa yote unakesha kui disgrade Tz ukidhani ndio utaepuka maumivu
Hata ufanyeje huwezi kufuta ukweli huu.
Tanzania ndiyo nchi ya kwanza EA kuwa na BRT system. (Hakuna nchi itakuwa na BRT system hapa EA zaidi ya Tz kwa miaka 100 ijayo)
Tanzania ndiyo nchi ya kwanza EA kuwa na electrifitried SGR.
Tanzania ndiyo nchi ya kwanza EA kuwa na cable stayed bridges.
Tanzania ndiyo nchi ya kwanza EA kuwa na 3level interchange.
Tanzania ndiyo nchi yenye modern and biggest Airpot in EA.
Tanzania ndiyo nchi yenye modern and biggest stadium in EA.
Tanzania ndiyo nchi yenye masoko ya kisasa zaidi EA.
Tanzania ndiyo inayoilisha Kenya na nchi nyingine maskini hapa EA.
Tanzania ndiyo the biggest source of remittance for Kenyans.
Tanzania ndiyo the biggest source of Kenyan tourism receipts ni nchi ya pili ukitoa Uganda.
Tanzania ndiyo nchi itakayokuwa na mji wa kisasa zaidi hapa EA (Dodoma).
Tanzania ita supply umeme kule Kenya watake wasitake, nchi inayouza umeme kwa jirani ni sawa na kuitawala nchi hiyo.
Tanzania inaenda ku supply gas kule Kenya.
Mambo ni mengi mno but baadhi ni hayo, so ni halali yako mnuka mavi kutapa tapa mana hakuna namna unaweza kuepuka hayo zaidi ya kuondoka jamiiforums![]()
naona unajaribu, kuji console kwelikweli..
hivi, nimetumia hii takwimu kama mfano moja tu.
unajua kenya inaizidi tz kwenye kila takwimu kwenye kila sekta. ata hadi mapato kwenye sekta ya kilimo.
heb nioneshe ata ranking moja, tz iko mbele ya kenya.
coz aky walaimi sijaai ona.. na kama iko!.. leta!
mfano moja tu hiiya takwimu zaidi ya mia moja [>+100]View attachment 2403428
Lakini pia ukumbuke kuwa mikoa ya Tanzania yenye Idadi kubwa zaidi ya watu ukitoa Dar labda na Mwanza Ndio inayoongoza Kwa umasikini. Trends za higher birth rates kwenye hii mikoa ni kubwa sana lakini maisha ni Magumu pia, welfare iko chini. Sio jambo la kujivunia.Tofauti ya idadi ya watu Dar na mji unaofuata ni watu million 1 (interesting) kunyaland idadi ya watu Nairobi na Mombasa tofauti yake ni zaidi ya watu million 3 hii inaonesha namna Nairobi ilivyo the last hope for kunyalanders na namna counties nyingine zilivyo hovyo!
Kwenye angle ya kisiasa hakuna huyu mama anapokubalika hata sehemu 1,ni ukweli unavyosema Dodoma ndio hawataki hata kumuona, mikoa ya Lake Zone ipo hapo juu kuanzia Mwanza, Tabora, Geita (Kagera na Mara) hatoboi hata hivyo wenye ccm yao nao hawamwelewi kumbuka fununu za waziri anaeutafuta urais 2025Mim naangalia ishu ya uchaguzi.. kanda ya ziwa na Dar ndo wa kuamua upepo wa mgombea rais 😄..
Next thing, nimeshangaa kutoona 'majiji' ya Arusha na Mbeya kwa list. Kwa mbeya, labda kwa vile imetoa mkoa mwingine wa Songwe.
La kuongezea, dodoma mama etu ana kazi sana, watu hawamuelewi huko dodoma lbda mawaziri
Duh hii report itawafanya wakenya watoke kwenye hii battle 🤣🤣🤣 Kumbe as we are talking right now kuna majengo 739,289 zinazoendelea na ujenzi, ni juz Kati tu tulikua tunabishana na hizi mbwa kuhusu hi mchongo.. huyu mbwa Teargass leta ile report yako 🤣🤣🤣
Sasa anaangalia akiona mtu anaanza kushine mahali anamtoa au kumbadilishia kituo au wizara, yaani anawaza uraisi kweli.Kwenye angle ya kisiasa hakuna huyu mama anapokubalika hata sehemu 1,ni ukweli unavyosema Dodoma ndio hawataki hata kumuona, mikoa ya Lake Zone ipo hapo juu kuanzia Mwanza, Tabora, Geita (Kagera na Mara) hatoboi hata hivyo wenye ccm yao nao hawamwelewi kumbuka fununu za waziri anaeutafuta urais 2025
Wanamdanganya sana wanaomshauri kwamba anaweza kuwa rais wa kuchaguliwa, hana mvuto hana nyota kabisa huyu mama.Sasa anaangalia akiona mtu anaanza kushine mahali anamtoa au kumbadilishia kituo au wizara, yaani anawaza uraisi kweli.
Kawatuma kina Kinana, Vice President na Prime Minister kwenda kupima upepo
Na watamgeuka humohumo ccm wenzakeWanamdanganya sana wanaomshauri kwamba anaweza kuwa rais wa kuchaguliwa, hana mvuto hana nyota kabisa huyu mama.
Wanamdanganya sana wanaomshauri kwamba anaweza kuwa rais wa kuchaguliwa, hana mvuto hana nyota kabisa huyu mama.
Mim naangalia ishu ya uchaguzi.. kanda ya ziwa na Dar ndo wa kuamua upepo wa mgombea rais 😄..
Next thing, nimeshangaa kutoona 'majiji' ya Arusha na Mbeya kwa list. Kwa mbeya, labda kwa vile imetoa mkoa mwingine wa Songwe.
La kuongezea, dodoma mama etu ana kazi sana, watu hawamuelewi huko dodoma lbda mawaziri