Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792








Tanzania ni LDC kweli







Tanzania ni LDC kweliTanzanians have no muscles to rent such beautiful buildings and that's why investors can't put up such structures in Dar.Mchina kaitia Nai-desert mfukoni
Tuko na nchi ndogo lakini tumewashinda mara mbili kwa uchumi.Nyie mnanchi ndogo lakini mnatukaribia Kwa idadi ya watu ndo maana mnakufa njaa
Uchumi wa kwenye makaratasi wakati mnakufa njaa nyie hamna tofauti na Somalia.Tuko na nchi ndogo lakini tumewashinda mara mbili kwa uchumi.
Huo uchumi wa kwenye makaratasi ndio tunawatawala nayo.Uchumi wa kwenye makaratasi wakati mnakufa njaa nyie hamna tofauti na Somalia.
Hehehe na watakwama LDC Hadi dunia iishe.Tanzania ni LDC kweli
Why are you much bothered with our SGR? Why can't you concentrate on those mikebe mnaletewa?Huu mwaka wa nne sasa
View attachment 2403041
Tupe design kabla na baada ya JPM otherwise ni hisia zako.Nikukumbushe hata JPM alibadili design ya miradi.Mfano Ubungo interchange.Baada ya JPM kufariki infrastructure nyingi naona kama zimebadilishwa design, zimepunguzwa ukubwa na muonekano naona umebadilika, hii Msalato render yake mbn ilikuwa nzuri sana na kubwa tofauti na hii jua kali.
Unaijua gdp yetu ya mwaka huu? Subiri World Bank next year watatoa...iko somewhere between $75B-$77B
Hapa tunaongea lugha moja, huwa napinga sana stendi na stesheni kuwekwa nje ya miji.Hapana sababu ya malalamiko ya matumizi na urafiki wa ile ya Mbezi Luis ni umbali wake tokea city center! Sasa tusirudie makosa! Ikiwa Kivule inafikikaje? Na gharama za kufikika? Mbona miji ilyoendelea stands za mabasi ziko mijini?
Uyo mzee wenu hawezi kuja kua president, by 2027 atakua na miaka ngapi? Na atakuja na sera ganiBaba hoiye!
Azimio.. rrrryah!
Azimio.. tttwah!
Baba for President 2027
hadi Canaan tufike. jatujakufa moyo bado. hadi pindi kieleweke
BaBa at Home Bay County on Saturday, 29th Oct. trying to draw a road map for journey 2027.
Baba hoiye!![]()
Azimio.. rrryah!
View attachment 2403058
rightnw he's only 78years old.Uyo mzee wenu hawezi kuja kua president, by 2027 atakua na miaka ngapi? Na atakuja na sera gani
Biden sio Raila kijana na US sio Kenyarightnw he's 78years only.
kwani ya Biden ni ngapi? ama ata Trump?
Skia mzee.Kwani eneo la JNIA Ndani,likiwa na kituo chake peke yake kuna ubaya gani.Ikiwa kama drop off centre ,ya watu wanaotaka kusafiri ?Nipe functionality yake tujadiliane! Serikali ya CCM isikimbie hili tumeshindwa kupanga miji yetu it haya ndo madhara yake!tusikimbie gharama maana itatufana zaidi mbeleni!lile eneo ni dogo sana tuwaachie JNIA kwa ajili ya maendeleo ya baadae pamoja na usalama wa nchi lipeni fidia upande wa pili hakuna namna airports zinaenda kwa viwango,tusije tukakwama mbele.Tanroads nyie ndo wabishi wekeni interests za nchi mbele.
Yeah, hii muhimu. Ila most likely itaanza after 2025. Hizo plans nategemea phase 1 itaanza after 2026 hiviBus stop ya bunju haina umuhimu umesahau mradi mmoja wa muhimu sana wa light rail tuondokane na madaladala kabisa