Msalato International Airport
But on my opinion, sijaona uzuri wowote kwenye hii airport
Kabisa bro! Design ya JNIA TBII nayo iko poa sana ile canopy ambayo ndo signature ya TBII inabaki sema wanaliextend jengo kwenda mbele kwa glass facades kwa kufuatisha ile zigzag ya juu kwa juu then linaenda mbele mpk pale kwny barabara ya kwanza ya parking linashuka chini then inafuata drop off eneo lote pale mbele ni full vioo!Ndani ndo noma kabisa!pia kuna bridge itakengwa kwa ajili ya kuunganisha TBII na TBIII Hii ndo itakuwa rasmi Hub ya ATCL... but im still happy tunaongeza 'international airport' nyingine kubwa nchini.. nasubir ile ya pemba nayo wapate mkandaras ujenzi uanze
Tupatie huo mchoro apa mkuuNachelea kusema hii ndo itakuwa Terminal Building nzuri East and Central Africa,JNIA TBII Niko tayari kubet.😂
Who own DTB?? 😂😂😂Kenya is the big brother in East Africa.
View attachment 2402484
Usijiwaze sana thats eastern bypass still under constructionMkishamaliza kuangalia hii video.. nenden kwenye media section ya hii account, afu angalien nature ya barabara za kenya..linganishen na wanayopost humu
Sikuzote huwa nasema.. hawa jamaa maisha yao, nchi yao na mambo yao yamekaa kihunihuni na uongo uongo mwingi sana
Mkishamaliza kuangalia hii video.. nenden kwenye media section ya hii account, afu angalien nature ya barabara za kenya..linganishen na wanayopost humu
Sikuzote huwa nasema.. hawa jamaa maisha yao, nchi yao na mambo yao yamekaa kihunihuni na uongo uongo mwingi sana
Estim ni kampuni ya mtanzania by 100%Ni mhindi who started his company in Kenya. Should I remind you his name?![]()
Baada ya JPM kufariki infrastructure nyingi naona kama zimebadilishwa design, zimepunguzwa ukubwa na muonekano naona umebadilika, hii Msalato render yake mbn ilikuwa nzuri sana na kubwa tofauti na hii jua kali.Mimi pia naona hivyo, labda tusubiri iishe.
Wapopo wanalia.
Ok nmeona ndiyo hii hii, nmeangalia vzr haijabadilika ni ile ile iko poa kabisa.Mimi pia naona hivyo, labda tusubiri iishe.
Kama render ipo itapendeza ukitupia picha kadhaa.Nachelea kusema hii ndo itakuwa Terminal Building nzuri East and Central Africa,JNIA TBII Niko tayari kubet.![]()
MagufuliWho own DTB?? 😂😂😂
Amit Khokhai ni Mtanzania?😂😂😂Estim ni kampuni ya mtanzania by 100%
Hao wahindi wasikuchanganye.
Huwa una hoja za kike..We ni kilaza kweli