Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili la bus stand ya mikoa ya Kusini Mbagala (3) nishawahi ona design yake mahali sijui kwann halipewi kipaumbele?
Nasikia ni mvutano wa maslahi serikalini. Dar hawataki stendi iende mkoa wa pwani maana mapato watapata wao. Lakini ukiangali huku mbagala hakuna nafasi. Ingepelekwa tu huko kisemvule au wapi.....
 
Baada ya JPM kufariki infrastructure nyingi naona kama zimebadilishwa design, zimepunguzwa ukubwa na muonekano naona umebadilika, hii Msalato render yake mbn ilikuwa nzuri sana na kubwa tofauti na hii jua kali.
Tupe iyo ya zamani tuone
 
Hivo ndo inavyotakiwa kuwepo. Kituo hiko ninatakiwa kutumiwa na wasafiri tu. Na kunatakiwa kuwa na basi la mjini moja kwa moja kutoka hapo. Ila kama watachamganya na watu wa nje watakuwa wamefeli. Na hakuto kuwa na ndege ya kwenda marekani milele!
Unawezaje control hilo?!ukiangalia lile shazi la asbh na jioni pale kwny kituo cha airport imagine lote litaingia ndani! movements in and out! Je wakazi wa eneo la airport unawatendeaje haki?!
 
I thought kituo cha airport kuwa ndani kitakua restricted..for passengers only wanaotoka airport
Nipe functionality yake tujadiliane! Serikali ya CCM isikimbie hili tumeshindwa kupanga miji yetu it haya ndo madhara yake!tusikimbie gharama maana itatufana zaidi mbeleni!lile eneo ni dogo sana tuwaachie JNIA kwa ajili ya maendeleo ya baadae pamoja na usalama wa nchi lipeni fidia upande wa pili hakuna namna airports zinaenda kwa viwango,tusije tukakwama mbele.Tanroads nyie ndo wabishi wekeni interests za nchi mbele.
 
Kijana mdogo, Kasome maana ya PPP project alafu ndo urudi

PPP ni aina ya loan... Tofauti ni kwamba Loan inalipwa na kodi inayokusanywa na serekali kutoka kwa wananchi, lakini katika PPP, watumizi wa expressway pekee ndo wanalipa loan directly kwa kampuni iliojenga expressway, Yani badala ya nchi nzima hadi mkaazi wa Mombasa kulipia ujenzi wa expressway ambayo hatawai itumia, ni watumizi wa expressway pekee ndo watalipia loan iliotumika kujenga expressway...

Lakini katika PPP project, mmiliki wa hio barabara ni uma, sio hio kampuni, na hata pia sio lazima aliejenga barabara ndo achukue hela kutoka kwa watumizi wa barabara.... bora tu mkusanyo wa siku uende kwa kitita cha kulipa ile loan.

Faida ya PPP ni kwamba risk zote za kuwekeza zinachukuliwa na mwekezaji, alafu serekali haitumii hela, ni wananchi ndo wanalipa loan directly kila wanapotumia barabara, kwahivyo kwa kifupi, project ya PPP na project inayojengwa na loan, hakuna tofauti, zote zinatumia hela kutoka nje ambazo lazima zilipwe
Hapa ulipigia mbuzi guiter roho safi.., not the first time it has been explained to him, the idiot will stick to his guns na hazina bullets 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nipe functionality yake tujadiliane! Serikali ya CCM isikimbie hili tumeshindwa kupanga miji yetu it haya ndo madhara yake!tusikimbie gharama maana itatufana zaidi mbeleni!lile eneo ni dogo sana tuwaachie JNIA kwa ajili ya maendeleo ya baadae pamoja na usalama wa nchi lipeni fidia upande wa pili hakuna namna airports zinaenda kwa viwango,tusije tukakwama mbele.Tanroads nyie ndo wabishi wekeni interests za nchi mbele.
Mm sidhani kama wanahitaji ku complicate hili, kituo cha Airpot ndani kiwe kwa ajili ya passenger only na watu wanaosindikiza passengers, zen kijengwe kituo hata pale Banana kwa ajili ya ku save raia wa kawaida. Haiwezekani kituo kijengwe ndani ya Airpot zen kitumike ku save passengers na raia wa kawaida huu utakuwa zaidi ya uchale na kukosa akili.
 
Unawezaje control hilo?!ukiangalia lile sazi la asbh na jioni pale kwny kituo cha airport imagine lote litaingia ndani! movements in and out! Je wakazi wa eneo la airport unawatendeaje haki?!
Namaanisha kuwe na vituo viwili. Kimoja ndani ya Airport na kingine nje pale kwa ajili ya raia wa kawaida. Hata ruti za gari ziwe tofauti kabisa jama ilivyokuwa muhimbili vile.
 
Big Projects in Dar to be completed before 2025

1.BRT Phase 3 27km U/C
2.BRT Phase 4 28km.Tender imetangazwa
3.BRT Phase 5 .Loan Secured
4.Msimbazi River Project with New Bridge
5.Over 6 flyovers at diffrent Junctions
7.Mzizima Towers
8.7/11 Kawe project resumed
9.Samia Housing Scheme Kawe Tanganyika pakers
10. Morroco Square
11. Terminal 2 JNIA Expansion
12. Brt Phase 6 Most likely funds will be secured before 2025
13. New Indoor Arena 10k Capacity ..Kawe/Kibamba au wapi
14. Expanded Kariakoo Market
15.

Projects i wish the Govt should take before 2025

1.New Container Termimal at Dar port at least with capacity to handle 10 million extra tonnes
2. Upanga Finacial Hub /District
3. New Bus stand ya Ku serve mikoa ya kusini(Mtwra , Lindi , Kilwa , Rufiji) iwe mbagala

4.New Bus stand to serve mikoa ya kusini ( Bagamoyo, Arusha , Tanga , Moshi , Kenya ) iwepo Bunju zitapunguza congestion barabarani

5.TPA New Terminal for Boats and yatchs doing trip to Zanzibar

6. Dar. Es Salaam Waterfront Park

Projects i wish private companies zifanye

1.Simba Stadium
2.Yanga Stadium
3.
Bus stop ya bunju haina umuhimu umesahau mradi mmoja wa muhimu sana wa light rail tuondokane na madaladala kabisa
 
Nasikia ni mvutano wa maslahi serikalini. Dar hawataki stendi iende mkoa wa pwani maana mapato watapata wao. Lakini ukiangali huku mbagala hakuna nafasi. Ingepelekwa tu huko kisemvule au wapi.....
Hapana sababu ya malalamiko ya matumizi na urafiki wa ile ya Mbezi Luis ni umbali wake tokea city center! Sasa tusirudie makosa! Ikiwa Kivule inafikikaje? Na gharama za kufikika? Mbona miji ilyoendelea stands za mabasi ziko mijini?
 
With this population, Tanzania GDP per Capita is now $1,085. LDC kamili😂😂

20221031_131214.jpg
 
Back
Top Bottom