Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Amit Khokhai ni Mtanzania?
Ni Mkenya. Pole mnuka mavi
Screenshot_20221030-221634.jpg
 
Mtu anakuambia ati wameandika wakenya kazi yet most companies in Tanzania are owned by Kenyans. Nowadays most manufacturing companies in Tanzania are owned by Kenyans.
Hahahaha, with only $1.2B of investment through over 500 companies, Bakhresa alone has invested the same amount of money to in Tanzania
 
Majina yasikuchanganye kijana.

Estim wameibuka baada ya ku absorb kampuni kubwa ya ujenzi ya Ulaya iliyokuwa Bongo hapa.

Huwezi elewa....
Estim wenyewe wanasema hiyo kampuni ilianzishwa Kenya. Sasa huyo mtanzania mwenye alianzisha Kenya ni nani?😂
 
Ila sijaafiki kituo cha BRT kuwekwa ndani ya eneo la airport pale karibu na geti la kuingilia terminal 2 mnaonaje wadau kwa mliotembea?! Congestion itakuwa kubwa sana pasipo na sababu!Wangefidia watu kule upande wa pili wa barabara wakajenga
Mkuu BRT inabd iwepo mule mule airport, itarahisisha sn unajua pale tunahudumia watu mostly ni middle income, hawapendi kutembea umbali mrefu kufuata gari wacha waweke pale, mtu anatoka Airpot anaingia kwenye BRT buses huyoo hotel posta au kkoo au huyoo pugu anachukua electric train all the way to Moro, Dom or Mwanza, haina mateso kama Kenya.
 
Kenya abiria wa pale JKIA departure lounge ipo nje
Baada ya miaka 5 Kenya itasalimu amri mchana kweupe hamna namna nyingine! imagine terminal 2 mradi done, 4 star hotel done mwendokasi done, SGR done Business facility done, nilikuwa napiga stori na eng. mmoja wa kifaransa kwenye mradi wa expansion & modernazation ya TB2 akawa ananidokezea walifanya observation ya Jomo Kenyatta then JNIA TBIII then ndo wakaja na idea ya super structure mpya ya TBII.🤗
 
Back
Top Bottom