joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Mama mboga companies




Mama mboga companies




Si Wapopo, huyo demu ni Msouth Africa.
I wish nishee kwny jukwaa sema bado mambo hajaiva team ya nje na ndani bado wako kwny majadiliano kunaweza kuwa na minor changes na pia project kama hizi zina taratibu ya kutolewa time ikifika tutapata tu!Mi naweza kutoa tu vionjo ndg yangu.,😃Tupatie huo mchoro apa mkuu
Hahahaha, with only $1.2B of investment through over 500 companies, Bakhresa alone has invested the same amount of money to in TanzaniaMtu anakuambia ati wameandika wakenya kazi yet most companies in Tanzania are owned by Kenyans. Nowadays most manufacturing companies in Tanzania are owned by Kenyans.





Majina yasikuchanganye kijana.Amit Khokhai ni Mtanzania?![]()
That's an Indian you fool😂😂😂
Estim wenyewe wanasema hiyo kampuni ilianzishwa Kenya. Sasa huyo mtanzania mwenye alianzisha Kenya ni nani?😂Majina yasikuchanganye kijana.
Estim wameibuka baada ya ku absorb kampuni kubwa ya ujenzi ya Ulaya iliyokuwa Bongo hapa.
Huwezi elewa....
Ila sijaafiki kituo cha BRT kuwekwa ndani ya eneo la airport pale karibu na geti la kuingilia terminal 2 mnaonaje wadau kwa mliotembea?! Congestion itakuwa kubwa sana pasipo na sababu!Wangefidia watu kule upande wa pili wa barabara wakajengaKama render ipo itapendeza ukitupia picha kadhaa.
We ni shoga basHuwa una hoja za kike..
Kama roho inakuuma nenda uwaambie wabadilisheThat's an Indian you fool![]()









Ni wewe mnuka mavi ndio ulianzisha huko Kenya pamoja na babaakoEstim wenyewe wanasema hiyo kampuni ilianzishwa Kenya. Sasa huyo mtanzania mwenye alianzisha Kenya ni nani?![]()






We jamaa nmekudharau sn yn unatembea na wanawake wa 6000? Jamaa mchafu sana wewe aiseeeWe ni shoga bas








Endelea kuniogopa hivyo hivyo, me nakupiga pini tu mlalahoi wewe.That is a road under construction. Eastern Bypass, it's being dualed. Stop reasoning like The best 007.
DTB ni bank ya wahindi mbwa wewe.Magufuli
Mkuu BRT inabd iwepo mule mule airport, itarahisisha sn unajua pale tunahudumia watu mostly ni middle income, hawapendi kutembea umbali mrefu kufuata gari wacha waweke pale, mtu anatoka Airpot anaingia kwenye BRT buses huyoo hotel posta au kkoo au huyoo pugu anachukua electric train all the way to Moro, Dom or Mwanza, haina mateso kama Kenya.Ila sijaafiki kituo cha BRT kuwekwa ndani ya eneo la airport pale karibu na geti la kuingilia terminal 2 mnaonaje wadau kwa mliotembea?! Congestion itakuwa kubwa sana pasipo na sababu!Wangefidia watu kule upande wa pili wa barabara wakajenga









Nasubir angle nyingine utakayotumia kutokea..Amit Khokhai ni Mtanzania?😂😂😂
Baada ya miaka 5 Kenya itasalimu amri mchana kweupe hamna namna nyingine! imagine terminal 2 mradi done, 4 star hotel done mwendokasi done, SGR done Business facility done, nilikuwa napiga stori na eng. mmoja wa kifaransa kwenye mradi wa expansion & modernazation ya TB2 akawa ananidokezea walifanya observation ya Jomo Kenyatta then JNIA TBIII then ndo wakaja na idea ya super structure mpya ya TBII.🤗Kenya abiria wa pale JKIA departure lounge ipo nje![]()
British indianEstim ni kampuni ya mtanzania by 100%
Hao wahindi wasikuchanganye.