Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wapuuzi wengine eti wanasema TAZARA isiwe SGR kisa connecting rails from SADC countries zinatumia mgr, now what value of cargo did those worthless countries from SADC shipped via mgr to and from Dar port ?
TARARA ina mtejaa Mkuu mmoja, Zambia. With an upgrade to SGR tutaongeza ufanisi zaidi na kuhudumia masoko ya Malawi na DRC. Haya ni masoko makubwa sana,
Kutoka Kapir Mposhi hadi Lubumbashi its only 350km approx..
Kwani ikipigwa sgr si itajengwa mpya na TAZARA itabaki kama reli ya kati.
Nchi yetu ni kubwa sana hata sisi kama wananchi tunahitaji usafiri wa haraka.
Mimi kwa akili yangu ningepiga sgr pote
Ila ningeijenga kwa style hii
Ingetoka Arusha kwenda mbeya kupitia dodoma. Kwa maana nyingine majiji yote ya Tz yangeunganishwa na sgr.
Kwa hiyo mzigo Unaweza shukia Tanga ukaenda sehemu yoyote ya nchi au nje ya nchi, na watz wanasafiri kwa u rahisi.
 
Hii kitu ni 500 meters ama 50 meters? To make the maters worse ni two lanes.
Daraja ni 500 meters mzee, najua unaumia pole sana, na kama pia utataka liwe ni 50 meters pia sawa, uhuru ni wako nikukatalie mie nani bhana 🤣🤣🤣
 
Streets of Nairobi.

20221026_215628.jpg
20221026_154410.jpg
119649816_4639190479454901_8622909432232494550_n.jpg
 
wapuuzi wengine eti wanasema TAZARA isiwe SGR kisa connecting rails from SADC countries zinatumia mgr, now what value of cargo did those worthless countries from SADC shipped via mgr to and from Dar port ?
TARARA ina mtejaa Mkuu mmoja, Zambia. With an upgrade to SGR tutaongeza ufanisi zaidi na kuhudumia masoko ya Malawi na DRC. Haya ni masoko makubwa sana,
Kutoka Kapir Mposhi hadi Lubumbashi its only 350km approx..
Mkuu, jaribu kufanya utafiti kidogo kabla ya kujenga hoja yako. Unaweza kutaja reli yoyote hapa duniani iliyobadilishwa (upgraded), kutoka MGR kwenda SGR?, Hivi Kuna faida gani ya kuvunja kitu ambacho tayari kinafanya kazi badala ya kukiboresha na Kama Kuna umuhimu wa SGR basi ijengwe upya?.

Kenya na Tanzania, kwanini hatukuamua ku (upgrade), mgr zetu zilizokuwepo badala yake tuliziboresha lakini tunajenga SGR mpya?, Kumbuka kwamba TAZARA ipo kwenye hali nzuri kushinda mgr kabla ya huu ukarabati unaoendelea, lakini bado serikali iliona sio busara kuivunja na kujenga SGR juu yake, vipi unadhani ni busara kuivunja TAZARA na kujenga SGR juu yake?
 
china is the 1st country in the world ever to enter into the 'Utopia World'..
i think another country could also be UAE!🤔

so only two countries in the utopia as of the 21st century!🤔

it's perfect beyond imagination! 🤔🤔 it's like sci-fi View attachment 2399906
In this world hakuna any country ime achieve utopia, it is impossible, unrealistic and unattainable; yaani perfect security, health, zero poverty and sustainable prosperity for all people in a state! ., pengine paradise ya Mungu pekee.., China kuna ufukara na mashambani, bado wako na third world lifestyle in various places, hawajafikia standards za watu wa most European countries, despite the classy or futuristic looking cities and state of the art infrastructure zaidi ya Europe and America..,
Pengine ungesema Qatar, Kuwait na UAE., zinakaribia in terms ya standard of living ya watu wao., wako juu sana! almost zero poverty.., immigrants ndio hustlers kule. China nooo, bado.

1666945581570.png

1666945592321.png

1666945606631.png
 
Back
Top Bottom