Where is GDP?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia waulize hawa giants wa Africa GDP iko wapi?..., haujui relation ya GDP na economic challenges ya nchi husika, Tz yenye double digit GDP hamuna lolote wala haujui lolote fukara 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
wacha nizungumze na mataifa yenye triple digits GDP niwaulize swali lako kuhusu GDP kilaza..,
"Egypt kuna mkwara flani anajiita
joto la jiwe anauliza GDP yenu iko wapi kwa hizi challenges zenu?"
Tuelekee South Africa, another tripple digits economy.., another giant in Africa..,
"SA where is your triple digits GDP?" (courtesy Kilaza ajulikanae kama joto la jiwe )
Nigeria,
Morocco na
Ethiopia sitaji challenges zao licha ya kukua na triple digits GDP, matatizo yao ni mengi mno..,
So kilaza
joto la jiwe , ukubwa ama udogo wa GDP sio suluhisho kwa matatizo ya nchi ila ni utenda kazi wa viongozi husika na uwajibikaji wa raiya kujikimu kimaisha., sio uzembe na ushamba kama mlio nayo wengi wenu, mpo mpo tu, ndio maana mmebakia taifa lenye watu wengi fukara wa kutupwa zaidi ije upande wa SADC ama hapa EAC licha ya rasilmali na udongo wenye rotuba.., bado GDP yenu ni double digits na taifa ni kubwa na watu pia ni wengi!!! janga hili!