Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Ndio tulikua tunafananisha na hizi mitaa ambazo ni 90% ya "world standard city" Dar is slum (sorry ni Malawi), Tanzania hamna hizi, nisipigwe na The best 007 bure😂😂😂😂😂😂Hapa ndio wanakaa mahustler eeh? Pako congested kilichoboreshwa hapo ni mpangilio wa vibanda na njia za kuingia na kutoka ila hakuna maajabu hata wewe unalijua ilo