Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar es salaam
moizhusein-20221020-0009.jpg

 
Chinese built Global Trade Centre (GTC), ujenzi umezingatia world class standards, mwenye wivu ajinyonge.., ujinga laana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1666705420646.png
 
Duh picha za zamani kwelikweli, umeweka mpk bonde la mto msimbazi ambalo nyumba zimeshabomolewa kupisha ujenzi wa kihistoria, kuhusu BRT isikuume sn hata ulaya watu wanasimama cz ni usafiri wa fasta ushafika home, hiyo siyo matatu hiyo mnanukishana vikwapa na hamfiki kwa wakati, najua nyie ni washamba wa BRT system [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2397478View attachment 2397480View attachment 2397482
Hawa siyo wazungu ni Watanzania weupe wapo kwenye BRT [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nairobi is not yet a world class city ila kuna sehemu with world standard levels.., hilo utabisha kweli?.., ata nchi kama Ghana kuna sehemu wako na kitu having world class standards, even operations za some services..,
Sasa nionyeshe iyo sehemu ya world standard niione kwanza
 
Nilitaka nimwambie ila nikakausha tu, eti SADC haina manufaa wkt bidhaa nyingi na biashara kwa ujumla tunafanya zaidi na SADC kuliko hawa maskini wa EAC [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mzee usikaushe ninapokosea unanichana ukweli ili siku nyingine nisikosee zaidi nikaja kuaibika pakubwa huko mbeleni. Kukosea ni kujifunza siwezi kuyajua yote. Watanzania tuko wawazi kwenye kukosoana [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Sawa mkuu, ila hii ndio the highest standard level road yenyu sio? ama kuna nyingine? my point is driven home [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa barabara pana hii ndio pana zaidi bongo nzima
 
Back
Top Bottom