Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Akijenga hii barabara mama atakuwa kaupiga mwingi.
Zile njia nane ajitahidi zifike chalinze.
Njia nne zingine moro Dom, ingawa kwa mimi naona moro dom wangeiacha kwa sababu ya ujio wa sgr eneo hili, labda wangeanzia chalinze kuelekea Kaskazini.
Kingine ni kudeal na barabara zenye msongamano kwenye majiji.
 
FB_IMG_16665295811818950.jpg
FB_IMG_16665295368693960.jpg
FB_IMG_16665295313506670.jpg
FB_IMG_16665295256333171.jpg
FB_IMG_16665295016197883.jpg
 
Fikeni huku Kwanza


This is contemporary, we have lots of those in Kenya. The one I posted is a Kenyan design modified from the British and it's mostly the compound and neighborhood I was showcasing. You wouldn't tell though because you're stupid.
 
Huku Tabora kuna matatizo, yaani wenyeji wa hapa wachache wenye maendeleo Wana uswahili mwingi. Wana Tabia ya kukwamishana Sana,hivyo sio ajabu kufanya Mambo kama haya.
Na wasipopelekewa maendeleo wanalalamika kuwa wanaonewa.
 
Picha zote ni tukio la leo.. mmeona utafaut gan? 😀
Mwenyeji katoka kwake, kavaa vizur, kapendeza, akafunga safar kwenda kumpokea mgeni airport, alivyofika kwake tena akabadilisha nguo na kuvaa nguo nyingine nzuri ya kupendeza

 
🤔 nchi ya GDP kubwa

Huwezi kuamini kwamba iyo gatundu ni moja ya maeneo yanayoilisha kenya ni kama vile mkazi wa mbeya au morogoro alalamike eti kuna njaa kwa kifupi nyumbani kwa kenyatta kuna njaa

Iyo gatundu ni kama km 50 tuu kutoka nairobi kwaiyo sio sehemu kame sasa unashindwa shida nn wazee wa gdp ya mchongo
 

Akijenga hii barabara mama atakuwa kaupiga mwingi.
Zile njia nane ajitahidi zifike chalinze.
Njia nne zingine moro Dom, ingawa kwa mimi naona moro dom wangeiacha kwa sababu ya ujio wa sgr eneo hili, labda wangeanzia chalinze kuelekea Kaskazini.
Kingine ni kudeal na barabara zenye msongamano kwenye majiji.
Kibaha-chalinze-moro ni 4lanes huu mradi unaanza ndani ya mwaka huu wa fedha
 
Back
Top Bottom