Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wataujengea kingo na vivuko vya waenda kwa miguu mto mirongo, hii itabadili sana mandhari sababu huu mto unapita katikati ya mji.
Baada ya miaka 5 kutakuwa na Mabadiliko makubwa maana miradi mingi itakuwa imeisha.

Ikitokea upanuzi wa barabara ya Nyerere na Kenyatta ukafanyika, mji utapendeza sana.
Barabara inatakiwa kupanuliwa kuanzia Kisesa kuja mjini na kuanzia Usagara kuja mjini, zinatakiwa zipanuliwe njia 6 na BRT katikati.
 
Kutana na miradi mikubwa in Mwanza which ar currently under way..
Busisi bridge 👇3.2 kmView attachment 2392790View attachment 23927912. Mwanza airport new terminal 👇View attachment 2392792View attachment 2392800View attachment 23928023. Solo kuu la Mwanza 👇View attachment 2392805View attachment 23928114 Nyegezi bus terminal 👇View attachment 2392813View attachment 2392814View attachment 2392815View attachment 23928165.Nyamhongolo bus terminal 👇View attachment 2392818View attachment 2392820View attachment 23928216. MV Victoria 👇View attachment 23928257. SGR terminal 👇View attachment 2392826View attachment 2392827View attachment 23928288. SGR VIADUCT 👇. Oya Don YF nyie tafutaneni na UG mfungue battle yenu .. sisi sio size yenu kabisa..

Bora daraja liishe maana vivuko vinatutesa sana hasa wakati wa mechi za Simba na Yanga
 
Hizi huduma alizianzisha nani au ni mwanda zake jamani katuacha kwenye ramani ya dunia
Mimi nawajua wakenya kadhaa ambao huko kwao kimatibabu wanaandikiwa waende india au kuja Tanzania kimatibabu,kuna m1 hadi chat zake watsap nnazo,alikuja TZ maana maradhi yake india bila malazi,chakula n.k tiba tu ilihitajika mln 40,alipokuja TZ mgonjwa wake alihitaji wiki 8 za mazoezi kabla ya surgery,tukamtafutia chumba magomeni mapipa akawa anaishi local,march mwaka akafanyiwa operesheni,yuko kwao msa na yuko poa na gharama zote za tiba na kuishi walitumia mln 8 na mgonjwa alikuja na watu wawili wa kumuangalizia,sometimes nawaangaliaga tu wakenya wa humu wanavyojitapa!
 
Napita hii njia daily kwenye mishe zangu, aisee I can’t wait ikamilike. BRT 3 na 4 zitamaliza kabisa hii ligi na hawa jamaa, then 5 na 6 itatuweka levels zingine kabisa Afrika na wala hatutakuwa tunaongea na watu wanaoomba msaada wa chakula. Infact, miaka 5 ijayo miji yote mikubwa Tanzania itakuwa na level yake tofauti kabisa, hawa ndugu zetu watafute chawa wao wa kuwapambania sababu hawatagusa mahali, iwe ni angani, majini na ardhini hawatagusa mahala, na wala sisemi hivi sababu ya uzalendo wa battle huo ndio utakuwa ukweli.

Yajayo Yanaumiza Macho.
Tumewaongezea pressure, watamuua Ruto this time
 
Pale stesheni TRC watavunja ofisi. Tayari kwa upande wa Polisi Reli wameshaanza kuvunja.wamebakiza kwa mbele tu...nyuma kule kwenye bar wameshapiga chini.

Jengo la Dom liko tayari hivyo wanasepa mjini.

View attachment 2393020
Tuliwaambia hii miradi ya kimkakati ipo cku itakamilika tu na mtakimbia humu, wakawa wanataka tuwaoneshe 1cm ya reli ya umeme, leo wamegeuka wanakuambia watanufaika vitukuu, sasa swali la kujiuliza ni je hao vitukuu hawatokuwa watz au
 
Back
Top Bottom