Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wabongo nyinyi ni copy cats.🤣🤣
ona hapa.. mmeanza kuiga mapozi na lifestyle ya the majority normal kenyan middleclass familylife..

kwendeni uko! kingereza sio chakula chenu. pliz stick to your lane.. ✌🏽✌🏽
 
Mimi sio mwehu kama mlivyo nyinyi, yaani hauamini!
Ushamba ni mzigo.., kwa ushamba ulio nao wewe unaona hii ni sitting room with those machines? alafu sitting room inaitwa sebule sio sebure kilaza
View attachment 2392041
Mtu mwenye arrogance ya kumwita majina ya ajabu binadamu mwingine automatically anakuaga na mental disorder , ungekua Tanzania ningekuambia wahi milembe wa kucheki upstair
 
Mombasa terminus
FB_IMG_1666203368619.jpg
 
Na wakipata naomba unitag na mm nione maajabu ya musa na firauni 😂😂



Mimi nawajua wakenya kadhaa ambao huko kwao kimatibabu wanaandikiwa waende india au kuja Tanzania kimatibabu,kuna m1 hadi chat zake watsap nnazo,alikuja TZ maana maradhi yake india bila malazi,chakula n.k tiba tu ilihitajika mln 40,alipokuja TZ mgonjwa wake alihitaji wiki 8 za mazoezi kabla ya surgery,tukamtafutia chumba magomeni mapipa akawa anaishi local,march mwaka akafanyiwa operesheni,yuko kwao msa na yuko poa na gharama zote za tiba na kuishi walitumia mln 8 na mgonjwa alikuja na watu wawili wa kumuangalizia,sometimes nawaangaliaga tu wakenya wa humu wanavyojitapa!
 
Whether true or false declarations.

Over 80% of them are "1m" dollar millionaires. Vip kuhusu wale viongozi waliopita na wazaman? You see? Dollar millionaires wengi wa kenya ni wanasiasa sababu ya corruption.. afu wako humu kufurahia wana dollar millionaires wengi
NB: 1m USD ~ 121m KES
 
Back
Top Bottom