Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Wataujengea kingo na vivuko vya waenda kwa miguu mto mirongo, hii itabadili sana mandhari sababu huu mto unapita katikati ya mji.Tactic itajenga Mwanza zaidi ya barabara zenye urefu wa kilometers 35 za aina hii, pia litajengwa soko la kisasa la samaki Mkuyuni kama la ferry Dar
View attachment 2392956
Streets nyingi za Mwanza zitakua na lami!
Baada ya miaka 5 kutakuwa na Mabadiliko makubwa maana miradi mingi itakuwa imeisha.
Ikitokea upanuzi wa barabara ya Nyerere na Kenyatta ukafanyika, mji utapendeza sana.
3.2 km

