Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Nyie kondoo wa north mko wapi.?
Wanasema tunajidai kujenga baarabara sijui kama iyo kauli ya kichovu uliipata juzi?Huku bongo barabara kila mkoa zipo na zinaendelea kujengwa, afu kule kenya barabara hata hazionekan zikijengwa, lkn eti wanasema wana barabara nyingi kuliko sis
Kutana na miradi mikubwa in Mwanza which ar currently under way..
Busisi bridge 👇3.2 kmView attachment 2392790View attachment 23927912. Mwanza airport new terminal 👇View attachment 2392792View attachment 2392800View attachment 23928023. Solo kuu la Mwanza 👇View attachment 2392805View attachment 23928114 Nyegezi bus terminal 👇View attachment 2392813View attachment 2392814View attachment 2392815View attachment 23928165.Nyamhongolo bus terminal 👇View attachment 2392818View attachment 2392820View attachment 23928216. MV Victoria 👇View attachment 23928257. SGR terminal 👇View attachment 2392826View attachment 2392827View attachment 23928288. SGR VIADUCT 👇. Oya Don YF nyie tafutaneni na UG mfungue battle yenu .. sisi sio size yenu kabisa..
Mimi sio mwehu kama mlivyo nyinyi, yaani hauamini!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ushamba ni mzigo.., kwa ushamba ulio nao wewe unaona hii ni sitting room with those machines? alafu sitting room inaitwa sebule sio sebure kilaza 😂 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂
View attachment 2392041
Kweli kabisa.. yatakua majiji makubwa na mazuri mno.. miradi ya kimkakati yatayapaishaa haya majiji vibaya ajabu.Dar, Dodoma na Mwanza yanaenda kuwa majiji ya Kisasa miaka ijayo kama yale ya Africa kusini, Johannesburg, Capetown na Durban.
Afu yote yatakuwa na SGR
Hapa nmepita leo.. ni balaa mzee wangu.. Ila pale panapokatisha reli ya MGR kuelekea bandarani panahitaji flyover pale ili kuopusha muingiliano wa reli na BRT .. ila huu mradi ukiisha utabadilisha kabisa taswira ya DAR kwa upande ule wa stesheni kule, I bet TRC watavunja zile ofisi zao za zamani na kuweka mpya
Ila hii BRT station ni kubwa kinoma ukiiona physically na iko na design tofauti na stations zingine, I wish ka nione renda yake ikikamilika itafananaje
Mahakama zetu hazinamaamuzi kwenye baadhi ya case,kwa sasa tunahitaji mahakama ziwena maamuzi bila kuingiliwa na mhimili mwingine, hayo majengo mazuri pekee yake haitoshiWakati wa mjomba Magu tulijipambanua sana kwenye uboreshaji wa huduma za kimahakama, kuanzia miundombinu n.k .. yo huwezi amini hizi ni mahakama tu za kikandakigoma View attachment 2392852View attachment 2392853Temeke
View attachment 2392855kituo cha utoaji haki DomView attachment 2392856.. duh wala siwezi maliza kupost mana hizi facilities zipo karibu nchi nzima na nyingi zinafanana.. JPM was a real deal
Kutana na miradi mikubwa in Mwanza which ar currently under way..
Busisi bridge 👇3.2 kmView attachment 2392790View attachment 23927912. Mwanza airport new terminal 👇View attachment 2392792View attachment 2392800View attachment 23928023. Solo kuu la Mwanza 👇View attachment 2392805View attachment 23928114 Nyegezi bus terminal 👇View attachment 2392813View attachment 2392814View attachment 2392815View attachment 23928165.Nyamhongolo bus terminal 👇View attachment 2392818View attachment 2392820View attachment 23928216. MV Victoria 👇View attachment 23928257. SGR terminal 👇View attachment 2392826View attachment 2392827View attachment 23928288. SGR VIADUCT 👇. Oya Don YF nyie tafutaneni na UG mfungue battle yenu .. sisi sio size yenu kabisa..
Hapa nmepita leo.. ni balaa mzee wangu.. Ila pale panapokatisha reli ya MGR kuelekea bandarani panahitaji flyover pale ili kuopusha muingiliano wa reli na BRT .. ila huu mradi ukiisha utabadilisha kabisa taswira ya DAR kwa upande ule wa stesheni kule, I bet TRC watavunja zile ofisi zao za zamani na kuweka mpya
Tactic itajenga Mwanza zaidi ya barabara zenye urefu wa kilometers 35 za aina hii, pia litajengwa soko la kisasa la samaki Mkuyuni kama la ferry DarKuna mradi wa Chanzo cha maji Butimba.
TIA na DIT Wameshaanza ujenzi wa campus zao za kisasa.
Kuna soko kubwa linajengwa maeneo ya kirumba na wameshafanya site clearance.
Kuna miradi kadhaa itaanza pia mingi ikiwa ni ya Tactic
Kitu kilichonifurahisha miradi yote hii imejengwa na kampuni za ujenzi za undaniWakati wa mjomba Magu tulijipambanua sana kwenye uboreshaji wa huduma za kimahakama, kuanzia miundombinu n.k .. yo huwezi amini hizi ni mahakama tu za kikanda 👇 kigoma View attachment 2392852View attachment 2392853Temeke 👇View attachment 2392855kituo cha utoaji haki DomView attachment 2392856.. duh wala siwezi maliza kupost mana hizi facilities zipo karibu nchi nzima na nyingi zinafanana.. JPM was a real deal
Duh sijui ni Rais gn ataikamilisha hii barabara mana hakuna barabara imewahi kujengwa kwa muda mrefu hivi tangu dunia kuumbwa na haitatokea mpk kiyama. Waachane nayo.