game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
sikutaka vayolencelakini!!!wacha nseme hivi
Tanzania Jeshi lenu linafukuzagwa na magaidi mavijana magamboots juzi uko DRC!
Even in Mozambique ilibidi Rwanda aingilie
Nashuku Kama Tz ingekuwa geographically hapa place Kenya iko mungeuwawa wote
Jeshi yenu ndio duni linatorokaga listuliwa na gaidi mapangana venye huvunja mawe eti rambboooh gengi!!!
Kama KDF iko dhaifu mpaka Jeshi lenu pia![]()
Kwani ni nyie tu mmepakana na Somalia, mbona hawavamii Ethiopia?
KDF juzi hapa walivamiwa wakakimbia kujificha kwenye nyasi wakiwaachia US Army msala wa ku pambana na Alshabab, Jeshi la kunya ni dhaifu sana, and in fact securitwize mko hovyo sana..
Huwezi kuwa na bandits wanaua yeyote wanaejiskia and have confidence of showing it off to the public. Yet you have a government eti, with police and all other security organs, that’s a typical failed state.
lakini!!!wacha nseme hivi

na venye huvunja mawe eti rambboooh gengi!!!



