Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnuka Mavi Dodoma imeanza kujengwa 2017 kama makao makuu ya nchi and you have nothing in comparison to DOM City ikikamilika kando ya Kanairo ... Hadi ule uchafu wa mombasa pia utaachwa mbali mno .. mwakani sio mbali weka tako lako palee chini
Dodoma Iko na nini which Isiolo doesn't have?
 
Mnuka Mavi Dodoma imeanza kujengwa 2017 kama makao makuu ya nchi and you have nothing in comparison to DOM City ikikamilika kando ya Kanairo ... Hadi ule uchafu wa mombasa pia utaachwa mbali mno .. mwakani sio mbali weka tako lako palee chini
Actually Dodoma was declared capital city in 1974.
 
Bado official data haijatolewa.., but tunaeza fanya estimation tu from few available previous recent information [emoji116] [emoji116] , kuna mwezi moja KRA netted 202B (Tsh 3.9Trillion. kwa exchange rate ya 19.5) na kuna mwezi walitengeneza 143B (Tshs. 2.78Trillion), as shown below, sasa lets work na estimation assuming KRA collects 140B(Tshs. 2.7Trillion) kwa mwezi, yaani kiwango cha chini kabisa, wakifanya vibaya, the first quarter (miezi mitatu ya kwanza 2022/2023 financial year) itakua approximately Tsh. 8.1 Trillion, TRA naona wame collect Tsh. 5.9Trillion ambayo inakushangaza! Tanzania bado sana bana.., ila hii ni tentative, tungoje data kamili tutajua mbivu na mbichi, lazima itachapishwa.,
View attachment 2375913
View attachment 2375914
Unajua kitu kimoja ni kwamba tunapiga hatua,wastani wetu ulikua 850B tsh mwaka 2015,Mzee baba JPM akatusogeza hadi 1.5Trillion kwa mwezi, Kwa sasa tunakusanya wastani wa 1.966 trillions kwa mwezi...
Hatua inaonekana...Walau kwa mwaka huu annual revenue itafika $10B kwa mwendo huu
 
Kunyan akikuambia maneno 100,usiamini hata 1 kwani uongo upo kwenye damu yao
Watu hawa hawajawahi kuwa real na maisha yao hata kidogo, ukiangalia mwandiko unaweza kukupumbaza na kuona mtu wa maana ila unakuta anamiliki tu hilo bundle la msaada [emoji23][emoji23][emoji23].
Watu wanaongea maneno sawa na watu wa New york, London na Tokyo [emoji23] lakini wapo dunia ya tatu.
 
🤣🤣🤣 Unataka kubishana na ukweli.? Sio Nakuru wala Eldoret zote haziwezani na DOM likija suala la gorofa za maana. Ukibisha twende ground
Usijifiche nyuma ya urefu wa buildings mwehu, eti ndio ujaribu kulinganisha kaDodoma to Eldoret ama Nakuru, tunaangalia jiji lote wholistically.., aspects zote, wacha kujificha kwa vipande vipande ili ujiliwaze 😂 😂 😂 😂 😂 Eldoret iliaibisha Mwanza hapa..., sio kwa malls, class, flyovers, residentials etc.., tunaangalia jiji lote..,

Sehemu za Eldoret.., aerial views,
1664806866932.png

1664806973053.png

1664806933304.png

1664806956922.png

1664807103502.png
 
We mnuka Mavi Teargas Dodoma ilikua Rasmi makao makuu ya Tanzania baada ya kupitishwa sheria mnamo mwaka 2018 👇. Hatua hii ilifikiwa baada ya maamuzi ya aliekua Raisi wa Tanzania wakati huo Dr JPM kuhamisha ofisi za serikali .. hizo hizo declaration za 74 zilikua maneno tu no vitendo.. na kama JPM asingetekeleza kwa vitendo pamoja na kupitishwa sheria. Hizi Kelele zisingekuepo now
 
Usijifiche nyuma ya urefu wa buildings mwehu, eti ndio ujaribu kulinganisha kaDodoma to Eldoret ama Nakuru, tunaangalia jiji lote wholistically.., aspects zote, wacha kujificha kwa vipande vipande ili ujiliwaze 😂 😂 😂 😂 😂 Eldoret iliaibisha Mwanza hapa..., sio kwa malls, class, flyovers, residentials etc.., tunaangalia jiji lote..,

Sehemu za Eldoret.., aerial views,
View attachment 2376076
View attachment 2376085
View attachment 2376079
View attachment 2376084
View attachment 2376093
🤣🤣🤣 Ulisahau wewe ndio uliomba battle ya gorofa za maana .. and naona gorofa moja tu ya maana in the whole village of Eldoret 🤣🤣🤣
 
Unajua kitu kimoja ni kwamba tunapiga hatua,wastani wetu ulikua 850B tsh mwaka 2015,Mzee baba JPM akatusogeza hadi 1.5Trillion kwa mwezi, Kwa sasa tunakusanya wastani wa 1.966 trillions kwa mwezi...
Hatua inaonekana...Walau kwa mwaka huu annual revenue itafika $10B kwa mwendo huu
Kila la heri 💪 💪
 
Back
Top Bottom