Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna kitu ambacho waTZ hamkielewi.Hauwezi linganisha jinsi KE inavyojenga miundo mbinu yake na nyinyi. Mfano wakati mngali bado mnajenga daraja la kigongo busisi, Mombasa imejenga na kumaliza madaraja mawili.Hii ni kuonyesha kuwa miradi ya Kenya hata iwe ndogo aje,inatumia simiti nyingi kwa siku kuliko yenu hivyo yanakamilika kwa haraka na mengine kuzinduliwa.
 
Naanza hapa miradi mikubwa ndani ya Dar iliyojengwa na inayojengwa Kati ya mwaka 2017-2022.

1. Ubungo interchange (3 level)
2. Mfugale flyover
3. BRT phase 2 with a good no of bus terminals
4. Concrete roads
5. Markets .. kisutu, Market, Magomeni markets and more

6. Tazanite bridge
7. Expansion of new kimara kibaha road with 3 overpasses
8. Magufuli bus terminal
9. Mwenge bus terminal
10. Mawasiliano bus terminal
11.New Chang'ombe flyover
12.New Uhasibu flyover
13. New bandari flyover
14. Expansion of new Mwenge-Moroco road
Cement consumption ya construction ya expressway pekee imefunika zile tano👆👆 ambazo nime increase fonts.., nilijua kwa kiburi na jeuri ulio nayo utaingia kwa mtego 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
A small section ya expressway hapo museum hill road..,
1664540087178.png

1664540105800.png
 
Kama hii ndo miundo mbinu ambayo dar umekuwa nayo kwa hio muda then I can happily say than Mombasa Hadi imeishinda kwa miundo mbinu zilizojenngwa
 
Tukiwaambia technology wise mko chini mnaona tunawaonea. Oneni Sasa ligi yenu ni DRC. Hata Uganda wanawafunika.

-798403614.jpg
 
Naanza hapa miradi mikubwa ndani ya Dar iliyojengwa na inayojengwa Kati ya mwaka 2017-2022.

1. Ubungo interchange (3 level)
2. Mfugale flyover
3. BRT phase 2 with a good no of bus terminals
4. Concrete roads
5. Markets .. kisutu, Market, Magomeni markets and more
6. Tazanite bridge
7. Expansion of new kimara kibaha road with 3 overpasses
8. Magufuli bus terminal
9. Mwenge bus terminal
10. Mawasiliano bus terminal
11.New Chang'ombe flyover
12.New Uhasibu flyover
13. New bandari flyover
14. Expansion of new Mwenge-Moroco road
15. Upanuzi wa bandari.. Dar Port then 👇
e74af244a804fa467665a980e56d431d.jpg
TransformingPortDarEsSalaam-780x439C.jpeg
Dar port now 👇
millardayo_1649445568473497.jpg
millardayo_1649445568472373.jpg
millardayo_1649445568473863.jpg
... Don YF. Sijui hata utaleta nini kutoka huko kwenu 🤣🤣🤣
 
Naanza hapa miradi mikubwa ndani ya Dar iliyojengwa na inayojengwa Kati ya mwaka 2017-2022.

8. Magufuli bus terminal
9. Mwenge bus terminal
10. Mawasiliano bus terminal
11.New Chang'ombe flyover
12.New Uhasibu flyover

13. New bandari flyover
14. Expansion of new Mwenge-Moroco road
Cement consumtion ya Lang'ata road na Eastern bypass expansion zinafunika hizi nilizo increase fonts...,
1664540531663.png

1664540511019.png

1664540590980.png


Eastern bypass expansion..,
1664540976696.png

1664540984956.png

1664540996264.png
 
Just to let you know Ubungo interchange ni ni interchange pekee yenye Iko six lanes levels zote 👇View attachment 2372655na daraja moja juu ya mto kila upande inaposhukia..
Sawa, ila cement consumption yake ni finyu sana ukilinganisha na expressway kilaza.., infact hii section pekee inaifunika kwa cement consumption.., hatujapanda kuelekea westlands ama kuteremka Mombasa road.., kubali yaishe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1664541118608.png

1664541128845.png
 
Kuna kitu ambacho waTZ hamkielewi.Hauwezi linganisha jinsi KE inavyojenga miundo mbinu yake na nyinyi. Mfano wakati mngali bado mnajenga daraja la kigongo busisi, Mombasa imejenga na kumaliza madaraja mawili.Hii ni kuonyesha kuwa miradi ya Kenya hata iwe ndogo aje,inatumia simiti nyingi kwa siku kuliko yenu hivyo yanakamilika kwa haraka na mengine kuzinduliwa.
Simiti ndo nn? Na unataka kusema hayo madaraja mawili combined yanazidi ukubwa wa Tanzanite bridge? Wewe ni mpumbavu wa wapi? Na madaraja chungu nzima nchini?
 
So hao 900 unataka kusema nimahouse girl???? Serious ...
Yaan baloz angetangaza hivo kwa kaz za uhouse girl???? Au hujanielewa.?
Nlimaanisha ztakua kazi zingne ila sio hizo za ndani wanazofanya wakenya anko..
wacha ujinga again balozi kasema hawatambui!
 
Back
Top Bottom