Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
DOM market 👇
.. 👇. Yes it's Tz the home of huge modern markets in the region ..
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.Mwenye maamuzi ya Mwisho sio Tanzania ni Uganda tusidanganye.Tz tumetoka njia na bandari.Uganda akibaliana na wanaopinga TZ hatuna cha kufanya.Ikumbukwe mchawi yupo hapa. Hapa East Africa
Gikomba a.k.a sehemu chafu zaidi duniani.
Ni kuchafu kupita maelezo mkuu, akibisha mtu naweka picha.Ukitoa filter hapo aibu
As long as ameshajua nn cha kufanya sasa kazi kwake ...Ashindwe mwenyewe
Hawa nyumbu wanakazana kutumia 558B za magari kwa mwaka alafu mambo ya msingi wanayatembezea bakuli dunia nzima kumbe wakijibana hata wakatumia B100 kwenye magari izo 400B zinaweza fanya jambo kubwa tu lakuonekana..Wanapenda starehe kuliko kaziAnother one
Soko kuu moro Town 👇View attachment 2371779View attachment 2371780ukizungumzia modernity kwenye masoko sisi ni baba wa huu uk
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida. Kuna Mtu anaogopa kukosa mikopo
Mnauza nn huko US and China? Chai au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]They shank because now our biggest market has shifted to US and china kwenye pesa iko
Hao mazezeta uchafu upo kwenye damuNi kuchafu kupita maelezo mkuu, akibisha mtu naweka picha.
Ndo ujinga huo tusirudishe tena ccm kwa mwendo huu...Hawa nyumbu wanakazana kutumia 558B za magari kwa mwaka alafu mambo ya msingi wanayatembezea bakuli dunia nzima kumbe wakijibana hata wakatumia B100 kwenye magari izo 400B zinaweza fanya jambo kubwa tu lakuonekana..Wanapenda starehe kuliko kazi
Hao wakunya ndio masnitch namba moja tena sio mara kwanza nakumbuka kuna kipindi serikali walikamata pembe za ndovu kutoka kwa majangili wakaamua kuomba kibali hili waziuze huko duniani hawa wakunya wakafanya kampeni kwenye kura za maoni tusiruhusiwe kuuza . Eti hatukuchukua hatua nzuri kulinda wanyama. Nakumbuka zile pembe zilichomwa kwa sababu tu hawapendi wakiona kuna amount itakuja Tanzania. Sasa hivi wanaongoza kampeni huko kupinga bomba la mafutaHili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida