Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DOM market 👇
b9c19-whatsapp2bimage2b2021-03-022bat2b6.05.462bpm2b252812529(1).jpeg
0A6A7955(2).JPG
.. 👇. Yes it's Tz the home of huge modern markets in the region ..
 
Mwenye maamuzi ya Mwisho sio Tanzania ni Uganda tusidanganye.Tz tumetoka njia na bandari.Uganda akibaliana na wanaopinga TZ hatuna cha kufanya.Ikumbukwe mchawi yupo hapa. Hapa East Africa
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida
 
ni hio hio gikombaa ndo utawapata wachaga, wanyamwezi, wahehe, wasukuma, wamakonde, wahadzabe..
hautawapata kwingine nairobi, ni hapo tu.. pengine na ngara kiasi

mchagga at the heart of gikombaa👇🏽
Screenshot_20220628-151557_Gallery.jpg
Screenshot_20220628-121707_YouTube.jpg
Screenshot_20220628-121731_YouTube.jpg
 
Soko kuu moro Town 👇View attachment 2371779View attachment 2371780ukizungumzia modernity kwenye masoko sisi ni baba wa huu uk
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida. Kuna Mtu anaogopa kukosa mikopo
 
They shank because now our biggest market has shifted to US and china kwenye pesa iko
 
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida
Hao wakunya ndio masnitch namba moja tena sio mara kwanza nakumbuka kuna kipindi serikali walikamata pembe za ndovu kutoka kwa majangili wakaamua kuomba kibali hili waziuze huko duniani hawa wakunya wakafanya kampeni kwenye kura za maoni tusiruhusiwe kuuza . Eti hatukuchukua hatua nzuri kulinda wanyama. Nakumbuka zile pembe zilichomwa kwa sababu tu hawapendi wakiona kuna amount itakuja Tanzania. Sasa hivi wanaongoza kampeni huko kupinga bomba la mafuta
 
Back
Top Bottom