chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,676
- 45,907
Kwanini Kibo?McMillan Library in the background, Foreground is Kenyan made Kibo motorcycles. Nchi ya masomo na viwanda.View attachment 2371025
Kwanini Kibo?McMillan Library in the background, Foreground is Kenyan made Kibo motorcycles. Nchi ya masomo na viwanda.View attachment 2371025
Because we can.Kwanini Kibo?
Alianza mkapa, nchi hii ni vitu vingi vilikuwa planned Jpm alikuwa na uthubutu, huo uthubutu ndio vision, mbona wengine walishindwa?
Bila Jpm dodoma tunayolinga Leo isingekuwepo.
Sidhani kama kuna Raisi angejenga 3.2km Bridge.
Hii sgr yetu ingejengwa kama ya kenya, only kama ingejengwa, ila kwa sababu ya vision alibadili design, ndio maana wanafanya design and build maana ya kwanza ilifutwa ikawa ya umeme na speed kubwa na axle load kubwa na behewa za kisasa sio kama kenya, ukumbuke reli yetu kuwa ya kisasa kumefanya mchina autelekeze mradi wa kenya.
Plan ilikuwepo Toka Nyerere ila sidhani kama kuna raisi angefanya uthubutu wa kujenga Bwawa la Nyerere.
Meli kwenye maziwa zilishakufa siku nyingi hakuna Aliyekuwa anaweza kukarabati wala kujenga mpya.
Wilaya nyingi zilianzishwa bila kuwa na majengo ya utawala jamaa alikuwa anajenga.
LIST ni ndefu hospitali, masoko, vituo vya afya, stendi, barabara mpaka kwenye miji midogo.
Ununuzi wa ndege, daraja la Wami, pangani etc.
Ulishawahi kufikiria endapo Jpm angefariki mwaka wa kwanza tu wa awamu yake ya kwanza yaani 2016, Je haya yote yangekuwepo.
Sasa hivi baadhi ya vitu vimeanza kusahaulika Toka afe.
Mfano ujenzi wa treni za mjini dar na dom, ujenzi wa metro Dom nk
Naamini angekuwa hai angekuwa ameshafikiria vitu vingine vikubwa zaidi.
Yes urais ni taasisi ila vision huwa ni kitu binafsi.
Unataka ligi ya masoko pumbavu wewe, usikimbie mnuka mavi wewe, sema suu tuanze ligi ya masoko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna Rais atakuja kuvunja rekodi ya Magufuli hapa Afrika kwa miaka ya hivi karibuni.Well said.
Ni mkweli mtupu hata Rais Mwinyi amesema haya mara nyingi hadharani. Ni wale, waleeeeeee kwa sababu za ************ ndio wako bize kuongea vibaya ila hata huyo Samia ile tuzo alienda kuichukua Ghana ya Miundombinu aliweka bayana, kuwa Magufuli ndio BABA wa miundombinu Tanzania. Ile Ngoma ingpiga 10, ilikua ni balaa!
Nakuambia hivi apite mnuka mavi yeyote apa tupige battle ya masoko sahizi kama ana msuli.A public hospital in Mbeya
hii ingekuwa Kunyaland wangeita levo seveni sepermega megamodern teaching superhospital View attachment 2371040
View attachment 2371041
View attachment 2371042
Sioni cha maana hapa. Any county in Kenya Ina Kubwa Zaidi ya hii.A public hospital in Njombe
hii ingekuwa Kunyaland wangeita levo seveni sepermega megamodern teaching superhospital View attachment 2371040
View attachment 2371041
View attachment 2371042
ila 🎼 riziki ni popote mtu wangu zidisha piga mbwata.!.. mtanzania.! na ofisi ni miguu yako.. tafuta utapata.!....🎶🎼
Duniani hakuna facility yoyote kunya Land itakaa sahani moja na JNIA likija suala la modernity .. sio kwasasa manzee mujipange sana.. hiyo record tutaivunja wewenyewe after we gon get Msalato international airport doneMbona unalazimisha that godown to be in the same level with the mighty JKIA and Bole? JNIA will take years to get to where JKIA is currently.
acheni kutumia brand zetu nyoko nyie! Ati Kibo?? Who knows Mt Kenya peak?McMillan Library in the background, Foreground is Kenyan made Kibo motorcycles. Nchi ya masomo na viwanda.View attachment 2371025
So Kibo is your brand?acheni kutumia brand zetu nyoko nyie! Ati Kibo?? Who knows Mt Kenya peak?
Logo ya Kibo ni mountain with wings on, means a motorcycle is flying as wings on hardest obstacles, huo mlima Kibo upo Tanzania, Mzungu roho yake ipo Tanzania huyoBecause we can.
ata mawenzi twakifaham. nyoko!acheni kutumia brand zetu nyoko nyie! Ati Kibo?? Who knows Mt Kenya peak?