Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usimalize maneno, ukarabati wa Terminal 2 unaanza soon na Wafaransa walisema watatoa kitu Terminal 3 itasubiri…….sasa tulia, kutangulia si kufika au mmesahau kwenye reli?😅
Itakua safi sana,wangetoa terminal kama schiphol ingekua poa sana
 
16188875_58055fe2e3034fd8b6c21536bbdbb8c62769679245047374311778365232424225997364491n_jpeg244...jpeg
 
Hivi Dar es Salaam kuna modern cargo terminal? Naomba watupe picha tuione maanake wanashinda humu eti airport yao ni modern.
Huwezi bishana na ukweli kwamba. Airport yetu terminal 3 ni modern kuliko takataka zote hapa EA na hiyo record tutaivunja wewenyewe after we gon have Msalato airport done in DODOMA
 
Huwezi bishana na ukweli kwamba. Airport yetu terminal 3 ni modern kuliko takataka zote hapa EA na hiyo record tutaivunja wewenyewe after we gon have Msalato airport done in DODOMA
Mbona unalazimisha that godown to be in the same level with the mighty JKIA and Bole? JNIA will take years to get to where JKIA is currently.
 
Back
Top Bottom