Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jiulize kwnn hawapost bila make up wanaogopa nn, kwa jina lingine inaitwa vumbi airport [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2370216
Banda la kuku vs JKIA.., lets see from the same perspectives..,

JNIA...banda la kuku, aka godown.
1664344178829.png

1664344193415.png


JKIA....,
1664344060584.png

1664344079354.png

1664344091050.png
 
Hapa JKIA imenyonga JNIA for life.., hawatapata jibu hivi karibuni.., kama tu expressway..,
JNIA will never get to the level of JKIA. Kwanza hiyo interior design ya Terminal 1B and 1C has no competitor in the region.
 
To level up
How While Capacity Wise its bigger than JKIA ..and its not like it does not have the facilities ambazo zipo JKIA...nyie ni old terminal mmefrub ..na hata capacity sijui kama imeongezeka ..just new ceeling na paints
 
Mnaweka filter sana kwenye video zenu na picha zenu...

Nairobi ni kuchafu na kubaya sana in reality..na nyie mnajua hilo...

Check moi avenue ya hapo cbd yenu kulivyo kuchafuView attachment 2370406View attachment 2370407
Tunakuonyesha video clips za 2022 September, ukweli inakuuma sana, unatamani isikue ni ukweli, yaani pana ng'aa unadhani ni filters, nyambaff, wivu weka pembeni, kumekucha.
 
Mkuu aliyeplan kujenga SGR ni JK,aliyeanza ni JPM anayeendrleza ni Samia atakayemaliza simjui.
Alianza mkapa, nchi hii ni vitu vingi vilikuwa planned Jpm alikuwa na uthubutu, huo uthubutu ndio vision, mbona wengine walishindwa?
Bila Jpm dodoma tunayolinga Leo isingekuwepo.
Sidhani kama kuna Raisi angejenga 3.2km Bridge.
Hii sgr yetu ingejengwa kama ya kenya, only kama ingejengwa, ila kwa sababu ya vision alibadili design, ndio maana wanafanya design and build maana ya kwanza ilifutwa ikawa ya umeme na speed kubwa na axle load kubwa na behewa za kisasa sio kama kenya, ukumbuke reli yetu kuwa ya kisasa kumefanya mchina autelekeze mradi wa kenya.

Plan ilikuwepo Toka Nyerere ila sidhani kama kuna raisi angefanya uthubutu wa kujenga Bwawa la Nyerere.
Meli kwenye maziwa zilishakufa siku nyingi hakuna Aliyekuwa anaweza kukarabati wala kujenga mpya.
Wilaya nyingi zilianzishwa bila kuwa na majengo ya utawala jamaa alikuwa anajenga.

LIST ni ndefu hospitali, masoko, vituo vya afya, stendi, barabara mpaka kwenye miji midogo.
Ununuzi wa ndege, daraja la Wami, pangani etc.

Ulishawahi kufikiria endapo Jpm angefariki mwaka wa kwanza tu wa awamu yake ya kwanza yaani 2016, Je haya yote yangekuwepo.

Sasa hivi baadhi ya vitu vimeanza kusahaulika Toka afe.
Mfano ujenzi wa treni za mjini dar na dom, ujenzi wa metro Dom nk

Naamini angekuwa hai angekuwa ameshafikiria vitu vingine vikubwa zaidi.
Yes urais ni taasisi ila vision huwa ni kitu binafsi.
 
How While Capacity Wise its bigger than JKIA ..and its not like it does not have the facilities ambazo zipo JKIA...nyie ni old terminal mmefrub ..na hata capacity sijui kama imeongezeka ..just new ceeling na paints
You must be ignorant ama unajitoa ufahamu, eti capacity wise, hiyo propaganda ya CCM usiniletee hapa na vitu vinaonekana wazi, zoea kukubali ukweli ata kama inauma itabakia pale pale, JNIA is way below JKIA and soon what is coming up in Rwanda by Qatar Airways will be above JNIA.., mtanyooka tu.,
 
Back
Top Bottom