Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amesema hawatalazimika kusubiri zaidi Wawekezaji wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo na hivyo Serikali itaanza ujenzi



Soma - Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi 2023

#ServiceDeliveryView attachment 2367570
Bora waongeze vifaa hilo meli zisipaki mda mrefu kwenye bandari zilizopo . Pia kuwe na mechanism ya kuondoa makasha bandarini on-time haswa train mzigo usijae bandarini .

Kujenga new port ni gharama sana
 
Bado wanataka kushindana na Kenya.

View attachment 2367494
their was a tyme I use to tell them hear everyday that, the fact that we have a significantly high gdp compared to them and with a smaller population than them,
$114B-53M
vs
$67B-64M
yani hawana jinsi, coz watazidi kuona kenya ikiwakandamiza kwenye all economic aspects.. but ungewasikia wakilia eti.. "ooo, mara kenya, gdp ni ya mchongo", "mara gdp ya tz ni $150B.

takwimu kama hizi inaonesha wazi kabisa ni nchi gani ndo dorminant ukanda huu.
and again, they should not at any given tyme think tht, since nairobi and dar are close neighbours, and so they are close brothers....
hope they have witnessed with these rankings tht nairobi is eating in the same table with the big fish.. the likes of cairo, johannesburg, cape town and lagos only! wengine ni bonoko

just very few examples courtesy of teargas
Screenshot_20220925-162619_Gallery.jpg
Screenshot_20220925-160501_Chrome.jpg
Screenshot_20220925-160614_Chrome.jpg
 
Thibitisha ya kwamba Tz GDP ni kubwa kuzidi Kenya ,tuachane sasa na taarifa za mashirika ya kimataifa kama WB,IMF ,tufanye sasa wewe ndio final say ,even our gov officials wanasema waziwazi bila ubishi kenya wametuzidi ,Na iyo sio kazi yako ama kazi yangu kubisha ama kukataa huo ndio uhalisia
Hehehehe kweli wewe ni mtumishi wa umma, yn umeshindwa kuelewa nilichosema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nmekwambia USA ina GDP kubwa kuliko China, sasa niambie cement consumption kati ya US na China ipi kubwa kuliko mwenzie, kuhusu Tz na Kenya naomba wewe sasa ndiyo uthibitishe cement consumption yao ni kubwa kuliko yetu na uniambie wanajenga nini!! Mana usione sifa unapoambiwa hauko biased kumbe unasifiwa upumbavu na ujinga basi na wewe ndiyo unazidi kuwa mjinga kwa kukataa hata mazuri ya nchi yako.
 
Wachaga wanapapenda wilaya ya ubungo sijui wana vinasaba gani na hili eneo [emoji3],ila mkuu kimahesabu biashara ya maziwa huku mitaani inalipa sana,wanywaji ni wengi,ng'ombe asiezidi laki 7 ana uhakika wa kukuingizia elfu 15 kila siku iwapo utampa matunzo mazuri,while mwenye boda boda ya m 2.8 anaingiza elfu 7 kwa siku,huku mitaani maziwa ukichelewa kuweka order upati ni biashara nzuri sana
Sasa ingia kwenye uhalisia baba ndio utajua kwann motivational speaker kazi yake ni kuongea tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hako kajengo ka kenya ni 120m tall, with 30floor, plus 80m antenna. Trying hard to chill with big boys [emoji3]
Should I bring you speakers for you so that you can scream loud enough for everybody to hear?
 
Kuwa na GDP kubwa na cement consumption vinahusiana vipi mzee .? [emoji1787] Heb tumia hata akili kidogo, tuko na miradi mikubwa kuliko mataifa yote yaungane pamoja, na miradi yetu yote inajengwa simultaneously , mbona ni vitu vinavyookana kwa macho ya kawaida tu.. Tandale tu Iko barabara za zege kibao karibu kila kona, mji wote wa DODOMA ni mpya 70% ya nyumba zote za DODOMA na facilities zengine za serekali zimejengwa kati ya 2017-2022 .. hao jamaa zetu so kila kitu Chao wanapost humu .?
Unaongea na debe shinda mkuu, kasifiwa hayuko biased basi ndiyo kawehuka kabisa.
 
Jinyonge.
Huyu mnuka mavi ameipenda kweli kweli jamiiforums, lkn nadhani pia ni ukosefu wa issue unamfanya kufikiria JF 24/7 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom