7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,066
Hii taarifa nimeisikia kwako kaka sikuwahi kujua ni aina gani ya mifugo. Kwa umasikini ni kweli angalia watu wao wanaokimbia nchi yao ambao wanakamatiwa kwetu ni kubwa mno. Maisha kwao ni magumu sana.Wale umaskini umezidi sana. Wale ni zaidi ya Kenya kwa umaskini. Wanaidadi kubwa ya Punda na sio ng'ombe wala mbuzi. In Ethiopia, kuna mpaka ambulance za Punda. Ni Usafiri wa watu na mizigo kama huko Lamu kwa maskini wenzao.