Sababu kuu ya kujenga districts mpya ni serikali kusema kuwa hawataki kuchangamana na hali duni ya Dodoma. Kwa hiyo ni Heri kutengeneza “picha mpya” mahali pengine. Kama wangekuwa wanaweza kuhamisha bunge pia wangejenga mahali pengine, but that would be controversial.
Hizo infrastructures wanazojenga kwenye mji wa serikali zinastahili kumfikia kila mwananchi, si taasisi za serikali peke yake. Tayari tumeshaanza kutengeneza matabaka kwenye national capital, na ndio reflection ya mahali nchi ilipo na inapoelekea.