Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NHC wako na mradi wa Nyumba 2500 with in DAR, and this time around watawahusisha private sector kujenga hizo affordable houses .. kwahy tuwe wastahamilivu yajayo yanafurahisha
Ningependa Kuamini kuwa ‘yajayo yanafurahisha.’ Lakini kama hakuna “revolution” ya urban planning basi hali itazidi kuwa mabaya.

Hizo nyumba za kifahari zinazojengwa na watu binafsi kwenye maeneo ya nje ya mji ni makazi ya watu matajiri. Siwezi ku-imagine mtu asiye na pesa ajenge makazi huko kwasababu ili kwenda kazini atahitaji gari binafsi. Watu masikini hawana magari binafsi na wengi wanajishughulisha na kazi zilizopo karibu na katikati ya mji. Kwa hiyo, hawa watu wanaishi ndani na karibu ya city center, ambapo ndipo kuna informal settlements nyingi.

NHC wakianzisha projects kama unayosema wewe wanajenga kwenye outskirts (nje ya mji). Unategemea masikini wataenda kuishi mahali pasipo na ajira? Hakuna mass transit yenye efficiency ya kuwasafirisha (japo BRT inapanuliwa). Na Ndio Maana nasema kuwa upo umuhimu wa ku-transform current informal settlements.
 
Hivi kuna faida gani ya kuwa na “mji wa serikali” ndani ya mji ambao tayari ni national capital?

Au ni kwanini taasisi zote za serikali Zikae kwenye district moja?
 
Kila siku mnajitoa rangi wenyewe. Mmekua mkiimba humu tangu 2014 eti Tanzania every village is connected to electricity, sahii mnasema mkoa mzima ndio umepata connection means Huu.
Kuna mini grids na main grids..
Mini grids zinatumia Generators au Solar au small HEP plants ..Tanzania is a very big country ni ngumu kufikisha Main Grid line kila mkoa..

Bei za kujenga grid several 100s to 1000km sometimes ni kubwa almost kama kujenga mitambo ya umeme..

So ili kurahisisha upatikanaji wa umeme mikoa iliyombali na grid ilikuwa inakuwa powered na Thermal source yani Disel Generators mostly au small HEP

Kigoma was one of them..so ukiona grid wamejoin doesnt mean kulikuwa hamna umeme..

Mfano Lindi na Mtwara Tz they have their own grid system ambayo haijaungwa na national grid ..because they use small amount of power so they habe their own Natural gas power plant and regional grid.. instead ya kujenga 400mil usd grid ..ku transport power kwenye mikoa yenye less than 100mw usage per day
 
Ningependa Kuamini kuwa ‘yajayo yanafurahisha.’ Lakini kama hakuna “revolution” ya urban planning basi hali itazidi kuwa mabaya.

Hizo nyumba za kifahari zinazojengwa na watu binafsi kwenye maeneo ya nje ya mji ni makazi ya watu matajiri. Siwezi ku-imagine mtu asiye na pesa ajenge makazi huko kwasababu ili kwenda kazini atahitaji gari binafsi. Watu masikini hawana magari binafsi na wengi wanajishughulisha na kazi zilizopo karibu na katikati ya mji. Kwa hiyo, hawa watu wanaishi ndani na karibu ya city center, ambapo ndipo kuna informal settlements nyingi.

NHC wakianzisha projects kama unayosema wewe wanajenga kwenye outskirts (nje ya mji). Unategemea masikini wataenda kuishi mahali pasipo na ajira? Hakuna mass transit yenye efficiency ya kuwasafirisha (japo BRT inapanuliwa). Na Ndio Maana nasema kuwa upo umuhimu wa ku-transform current informal settlements.
angalau upate nyumba za kuwahamishia before demolishing ...
a better plan would be kujenga nyumba pembeni kidogo ..kuwahamishia then demolish..which i think kwa kawe is a good start..it would have been better to involve them tho and make a good plan..haitakuwa ngumu sana kwa Tz Govt cause ya our lamd rules
 

Siku zinakuja kila mtu atakula alipo changa ngoja SGR ikwishe mtajua amju
Katika kitu ambacho TPA na Tz bado kwa ujumla tumelala ni Dar es Salaam port...hata kama tumetoka kuipanua bado ina capacity ya 25million tones ...last year ime serve 17mil tonnes..kwanini Tusijenge Container terminal mpya yenye berth hata 3 to 5 mpya za ku handle hata exta 10million tonnes..kuepukana na kufanya vitu kidogo kidogo..tuchague ..either hvyo au tuanze Bagamoyo Port..Mombasa is currently outmusucling us
 
VISIT TANZANJA ...
msimu huu lazima tukiamshe..
Simba, Yanga na Azam..
i pray for them all to qualify to group stages

I like the fact thay, they have started using kiswahili whenever they post football contents about tanzanian clubs
Now its a right time Mo na Yanga kuanza ujenzi wa stadium zao angalau 40k seats each ..its a big investement lakini ..cause stadiums take time kujilipa
 
Ports ni biashara nzuri tukaze boot ..ndo maana zile report kwamba Dar port alone kama contribute upto 5bn usd to gdp if improved
Screenshot_20220921-001418_Twitter.jpg
 
angalau upate nyumba za kuwahamishia before demolishing ...
a better plan would be kujenga nyumba pembeni kidogo ..kuwahamishia then demolish..which i think kwa kawe is a good start..it would have been better to involve them tho and make a good plan..haitakuwa ngumu sana kwa Tz Govt cause ya our lamd rules
Ni kweli. Kubomoa nyumba za watu bila kuwa na mahali pa kuwahifadhi ni ushetani.


Lakini tatizo la urban planning linaanza na serikali yenyewe. Ili kuwa na makazi bora usitegemee serikali kuu kuweza ku-enforce laws au policies successfully. Local governments Ndio zinaweza kufanya hiyo kazi vizuri zaidi. Jinsi NGOs zinavyofanya kazi zenye mafanikio makubwa kuimarisha jamii na Ndivyo local residents nao wanaweza kushiriki katika urban planning. Kwa hiyo ni swala linalohitaji participation ya kila mtu.
 
Ni kweli. Kubomoa nyumba za watu bila kuwa na mahali pa kuwahifadhi ni ushetani.


Lakini tatizo la urban planning linaanza na serikali yenyewe. Ili kuwa na makazi bora usitegemee serikali kuu kuweza ku-enforce laws au policies successfully. Local governments Ndio zinaweza kufanya hiyo kazi vizuri zaidi. Jinsi NGOs zinavyofanya kazi zenye mafanikio makubwa kuimarisha jamii na Ndivyo local residents nao wanaweza kushiriki katika urban planning. Kwa hiyo ni swala linalohitaji participation ya kila mtu.
Hapo kweli aiseh lazima vision iwe set na plan ziwe wazi na ziwe implelemted kwa local goverments zote ..kuhakikisha zones na planning inafanikiwa inabidi mindset zibadilishwe na serikali za mitaa kihakikisha mipango miji inatekelezqa
 
Ningependa Kuamini kuwa ‘yajayo yanafurahisha.’ Lakini kama hakuna “revolution” ya urban planning basi hali itazidi kuwa mabaya.

Hizo nyumba za kifahari zinazojengwa na watu binafsi kwenye maeneo ya nje ya mji ni makazi ya watu matajiri. Siwezi ku-imagine mtu asiye na pesa ajenge makazi huko kwasababu ili kwenda kazini atahitaji gari binafsi. Watu masikini hawana magari binafsi na wengi wanajishughulisha na kazi zilizopo karibu na katikati ya mji. Kwa hiyo, hawa watu wanaishi ndani na karibu ya city center, ambapo ndipo kuna informal settlements nyingi.

NHC wakianzisha projects kama unayosema wewe wanajenga kwenye outskirts (nje ya mji). Unategemea masikini wataenda kuishi mahali pasipo na ajira? Hakuna mass transit yenye kw efficiency ya kuwasafirisha (japo BRT inapanuliwa). Na Ndio Maana nasema kuwa upo umuhimu wa ku-transform current informal settlements.k
Kwa miradi mipya ya NHC nyumba 2500 zote zitajengwa mjini, mitaa iliyotajwa ni Kinondoni, Magomeni na Kawe.. na tayari renda zilishapostiwa humu na bwana chongchung na utukelezaji wa hiyo miradi utaanza mwisho wa mwezi huu wa tisa
 
Hivi kuna faida gani ya kuwa na “mji wa serikali” ndani ya mji ambao tayari ni national capital?

Au ni kwanini taasisi zote za serikali Zikae kwenye district moja?
Hili suala la kuwa na ofisi nyingi za serikali kwenye district moja nadhani sio suala geni duniani na wala sio sisi wakwanza kufanya,.. nchi nyingi zilizo shit makao makuu yao kwenye miji mingine .. huwa wanatumia utaratibu huu huu tu, kwa mfano Abuja Nigeria, New Cairo Egypt, n.k .. sioni kama ni kitu kibaya
 
Hili suala la kuwa na ofisi nyingi za serikali kwenye district moja nadhani sio suala geni duniani na wala sio sisi wakwanza kufanya,.. nchi nyingi zilizo shit makao makuu yao kwenye miji mingine .. huwa wanatumia utaratibu huu huu tu, kwa mfano Abuja Nigeria, New Cairo Egypt, n.k .. sioni kama ni kitu kibaya
Of course sio Swala geni duniani, lakini ni swala geni kwetu na pia hujaniambia umuhimu wake ni upi.

Moja ya malengo ya Nyerere kuhamisha capital somewhere else ni kujenga national identity ambayo haihusiani na colonial rule. Dar es Salaam ilikuwa capital ya wakoloni, Kwa hiyo Nyerere akaamua kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma kujenga identity ya taifa, hasa inayohusisha ujamaa.

Wakoloni waliigawa Dar es Salaam Mara tu walipoanza utawala. Msasani peninsula (Oyster Bay na Masaki) ilikuwa ni ya Europeans halafu Kariakoo ya waafrika weusi. Downtown ilijazwa na wahindi na waarabu. Na mpaka leo hizi demographics zinaonekana.

Dodoma ni mji mkuu wa serikali. Huo mji mwingine unaotengenezwa ni mji gani? Kwanini capital isiwe abstract? Ukiweka taasisi zote za serikali kwenye district ndogo unafanya zoning. Kwanza uta-weaken Dodoma Maana watu wengi watajaribu kusogea karibu na huo “mji wa serikali.” Pili unatengeneza class divide. Clearly watumishi pia watapata makazi kwenye hayo hayo maeneo ya “mji wa serikali” halafu wananchi wa “kawaida” wataendelea kuishi Dodoma. Pia social services zitakuwa directed mainly kwenye “mji wa serikali.” Hakuna sehemu yoyote Dodoma iliyopangiwa sophisticated infrastructure kama huo “mji wa serikali.” Paved roads, a planned tram system, underground electric cables, sewerage systems, street lighting etc

Kama taasisi zingechanganyikana kwenye maeneo yote ya mji wa Dodoma basi maendeleo yangeonekana mahali pote. Usisifie system inayotumika nchi nyingine bila kufahamu ni jinsi gani itakavyoathiri jamii yako!
 
Back
Top Bottom