Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Of course sio Swala geni duniani, lakini ni swala geni kwetu na pia hujaniambia umuhimu wake ni upi.

Moja ya malengo ya Nyerere kuhamisha capital somewhere else ni kujenga national identity ambayo haihusiani na colonial rule. Dar es Salaam ilikuwa capital ya wakoloni, Kwa hiyo Nyerere akaamua kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma kujenga identity ya taifa, hasa inayohusisha ujamaa.

Wakoloni waliigawa Dar es Salaam Mara tu walipoanza utawala. Msasani peninsula (Oyster Bay na Masaki) ilikuwa ni ya Europeans halafu Kariakoo ya waafrika weusi. Downtown ilijazwa na wahindi na waarabu. Na mpaka leo hizi demographics zinaonekana.

Dodoma ni mji mkuu wa serikali. Huo mji mwingine unaotengenezwa ni mji gani? Kwanini capital isiwe abstract? Ukiweka taasisi zote za serikali kwenye district ndogo unafanya zoning. Kwanza uta-weaken Dodoma Maana watu wengi watajaribu kusogea karibu na huo “mji wa serikali.” Pili unatengeneza class divide. Clearly watumishi pia watapata makazi kwenye hayo hayo maeneo ya “mji wa serikali” halafu wananchi wa “kawaida” wataendelea kuishi Dodoma. Pia social services zitakuwa directed mainly kwenye “mji wa serikali.” Hakuna sehemu yoyote Dodoma iliyopangiwa sophisticated infrastructure kama huo “mji wa serikali.” Paved roads, a planned tram system, underground electric cables, sewerage systems, street lighting etc

Kama taasisi zingechanganyikana kwenye maeneo yote ya mji wa Dodoma basi maendeleo yangeonekana mahali pote. Usisifie system inayotumika nchi nyingine bila kufahamu ni jinsi gani itakavyoathiri jamii yako!
No . Unachoeleza ni sahihi na ndio kinachofanyika Dom kwasasa.. kuna district mbili mpya zinajengwa ukiachana na ile old financial district yao. Ambapo all those districts ni separate .. for instance hii ndio new government City inajengwa hapa 👇
Screenshot_20220919-174049_1.jpg
hapo juu ni kwaajili ya ministries n.k.. halaf zile picha alizopost chongchung. Yaani hapa 👇
Screenshot_20220128-020645_1.jpg
Screenshot_20220831-141509_1.jpg
Screenshot_20220831-141503_1.jpg
Screenshot_20220831-141422_1.jpg
hili eneo ndio mostly limewekezwa ofisini mingi za taasisi tofauti tofauti pamoja na aina nyingine ya uwekezaji kama vile, hotels, majengo ya biashara n.k .. na ni mbali pia kutoka hapa hadi ufike New government City
 
No . Unachoeleza ni sahihi na ndio kinachofanyika Dom kwasasa.. kuna district mbili mpya zinajengwa ukiachana na ile old financial district yao. Ambapo all those districts ni separate .. for instance hii ndio new government City inajengwa hapa 👇View attachment 2363119hapo juu ni kwaajili ya ministries n.k.. halaf zile picha alizopost chongchung. Yaani hapa 👇View attachment 2363120View attachment 2363121View attachment 2363122View attachment 2363123hili eneo ndio mostly limewekezwa ofisini mingi za taasisi tofauti tofauti pamoja na aina nyingine ya uwekezaji kama vile, hotels, majengo ya biashara n.k .. na ni mbali pia kutoka hapa hadi ufike New government City
Sababu kuu ya kujenga districts mpya ni serikali kusema kuwa hawataki kuchangamana na hali duni ya Dodoma. Kwa hiyo ni Heri kutengeneza “picha mpya” mahali pengine. Kama wangekuwa wanaweza kuhamisha bunge pia wangejenga mahali pengine, but that would be controversial.

Hizo infrastructures wanazojenga kwenye mji wa serikali zinastahili kumfikia kila mwananchi, si taasisi za serikali peke yake. Tayari tumeshaanza kutengeneza matabaka kwenye national capital, na ndio reflection ya mahali nchi ilipo na inapoelekea.
 
Sababu kuu ya kujenga districts mpya ni serikali kusema kuwa hawataki kuchangamana na hali duni ya Dodoma. Kwa hiyo ni Heri kutengeneza “picha mpya” mahali pengine. Kama wangekuwa wanaweza kuhamisha bunge pia wangejenga mahali pengine, but that would be controversial.

Hizo infrastructures wanazojenga kwenye mji wa serikali zinastahili kumfikia kila mwananchi, si taasisi za serikali peke yake. Tayari tumeshaanza kutengeneza matabaka kwenye national capital, na ndio reflection ya mahali nchi ilipo na inapoelekea.
Hizi miundombinu ndani ya DODOMA zinafanywa kila mahali, fanya upate wasaa ukatembee ujionee mwenyewe kiongozi
 
Sisemi kama mitaa ya kawaida itafanana na mji wa serikali but itapata barabara pamoja na huduma muhimu kama maji na umeme 👇View attachment 2363126mfano hai 👆
Basi kama mitaa ya kawaida haitafanana na mitaa ya “mji wa serikali” basi huoni tatizo hapo?

A new district has all the amenities and infrastructure but the old districts where most people live struggle to get attention.
 
Kuwa kama mwenzio aliyemjibu. The reason Tanzanians don't protest is because you're weak and lack democracy, sio eti mko better.

Protesting over high food prices ni kitu cha kawaida hata kwa nchi zilizoendelea kama Marekani



Kwanini Africa nzima ni Kenya pekee?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuniambia mitaa ya wananchi wa kawaida itafanana na mitaa ya “mji wa serikali?”
By amenities za mji wa serikali what do you mean..?

I think Dodoma imejitahidi kugawanyika

Kuna sehemu kuna ministries ndo huko magufuli city

Bunge liko mjini kabisa tofauti na ministries zilipo

Plus judicary nayo iko sehemu tofauti..

Kwa huu mgawanyo itafanya services ziwe sehemu tofauti

Plus sehemu nying (sio zote) ila majority mji umepangwa na unapigwa lami mtaani..ingawa hawako fast sana ..ila viwanja vimepimwa
 
Hiv wakenya mnajisikia mkisikia haya kuhusu BRT yetu
Phase 1 is currently operating
Phase 2 is over 50% done
Phase 3: construction has just begun
Phase 4: tender has already been advertised

Tunaenda kuwaacha mbali kama kwenye SGR
Tofauti ni kama usiku na mchana.
 
Back
Top Bottom