Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 879
- 1,040
Rejected samples or banned?Wakenya kupigwa ban ku export avocados 👇
Rejected samples or banned?Wakenya kupigwa ban ku export avocados 👇
Kuna kitu tunaita anti money laundering laws wasisahau
So umeme wa generator sio umeme, kwnn nyie Wakunya hamna akili?Kila siku mnajitoa rangi wenyewe. Mmekua mkiimba humu tangu 2014 eti Tanzania every village is connected to electricity, sahii mnasema mkoa mzima ndio umepata connection means Huu.
Leo nimepita barabara ya mandela road kutoka tazara kwenda vetenary (kumfata client wetu wa tanesco..kiwandan)..
1. Mbele kidogo ya sokoni, kuna eneo kubwa kushoto limevunjwavunjwa na wamezungushia fensi ya mabati ya blue.. wanajenga nn pale? Na katika kuulizializia wadau wanasema eneo lote lile ni la Manji kalichukua eneo lake, lkn bado sijajua wanajenga nn
2. Wakat narudi kutoka vetenary kwenda tazara, upande wa tazara hukohuko nimeona yale mabango, yanayotoa taarifa kuwa brt phase 3 inaanza ujenzi
La muhimu, ni hilo eneo mbele ya sokon wanajenga nn pale? Mana ni eneo kubwa sana
AKUNA KIPYA APO DOGO angalia mwanza iyo ahhahaaaa mtu mzima atishiwi nyau
Hiv wakenya mnajisikia mkisikia haya kuhusu BRT yetuHili dude limeanza kazi hapo karibu na kwa mfugale, naona ni site Clearance.
View attachment 2363074
Mimi kama mkenya kwakweli roho inauma sana sema sina budiHiv wakenya mnajisikia mkisikia haya kuhusu BRT yetu
Phase 1 is currently operating
Phase 2 is over 50% done
Phase 3: construction has just begun
Phase 4: tender has already been advertised
Tunaenda kuwaacha mbali kama kwenye SGR
What is Internate?You always look like you spend your hours on the internate foraging any negative news from Kenya.