Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Nimewahi kusafiri na basi toka Nairobi hadi Kampala, aisee mabasi ya Kenya ni mabovu, yaani kwa sisi huku route kama hiyo ya cross border bus ni LAZIMA liwe classy, lakini wenzetu mabasi yanayotumika ni yale huku kwetu unalikuta linatoka wilaya kwenda wilaya. Yaani ni aibu, kwenye mabasi wakae mbali kabisa.


