Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeme wa Maji sio reliable kusema eti isije kutokea..

China kwenyewe kuna mgao wa Umeme sababu ya Ukame,kusema eti isije kutokea ni kitu haiwezekani hususani kipindi cha Ukame mkali..
Yeah ndo maana lazima tuwe na mixed sources kama Gas plants , Solar na hata Geothermal ambayo hatujaanza hata kuitumia
 
Mdogo mdogo tutafika in next 2 years ..
ATC itakuwa inaenda ..London na Bangkok na hata Paris /Amsterdam zinaweza kuja
Screenshot_20220918-093801_Flightradar24.jpg
 
Za world Bank walipewa strabag , bado world Bank wamefinance. Pia kuna phase iko financed na France , sidhani kama kampuni za France zitapewa hiyo tender?
Strabag walikua poa sana nilishangaa njia ya mbagala kupewa mchina while strabag alifanya vizuri moro road
 
Jnhpp itaisha na mambo yataendelea vilevile tu, kama gharama zitashuka ni kdg sn, tutaambiwa kina kimeshuka cjui nini nini na kila kitu. Hii nchi inabidi wananchi tufanye jambo.
Binafsi wasi wasi ulianza pale marope alipokuja na negative kuhusu ule mradi,ila watu walipopaza sauti akanyuti ila true color yake alishaionyesha mwanzoni tu alipoingia wizarani
 
Jnhpp itaisha na mambo yataendelea vilevile tu, kama gharama zitashuka ni kdg sn, tutaambiwa kina kimeshuka cjui nini nini na kila kitu. Hii nchi inabidi wananchi tufanye jambo.
Kama ni kipindi cha ukame mkali hyo itakuwa kweli..maana hata wananchu tutashuudia huo ukame ..ila pia JNHPP inabidi iwe na reserve za kutosha za maji
 
Back
Top Bottom