NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,976
Huyo kijibizana naye ni kuharibu wakati. 🤣 🤣This one has no idea what Nairobi is like. 🤣 🤣 🤣
Huyo kijibizana naye ni kuharibu wakati. 🤣 🤣This one has no idea what Nairobi is like. 🤣 🤣 🤣
🤣Huyo kijibizana naye ni kuharibu wakati. 🤣 🤣
Yani hii Karne mtu anakuambia ni barabara moja inayoingia Nairobi sasa atasaidika aje? 🤣🤣
Msamehe huyo.🤣🤣Yani hii Karne mtu anakuambia ni barabara moja inayoingia Nairobi sasa atasaidika aje? 🤣🤣
Sina cha kumsamehe. Ni kumuombea nitamuombea.🤣Msamehe huyo.🤣🤣
Haha, anaitaji maombi huyo. 🤣Sina cha kumsamehe. Ni kumuombea nitamuombea.🤣
Jnhpp itaisha na mambo yataendelea vilevile tu, kama gharama zitashuka ni kdg sn, tutaambiwa kina kimeshuka cjui nini nini na kila kitu. Hii nchi inabidi wananchi tufanye jambo.South Africa wana mgao wa umeme wa ajabu..i just hope sisi haitokuja kujirudia kama enzi za richmond..bora raisi afanye madudu yake..ila asizingue sector za Umeme , Maji ,ajira na Afya
....currently sina imani sana na Tanesco inavyoendesha..i feel hata JNHPP ikija online tutapoa kidogo na kuanza kusema maji hayatoshuView attachment 2360036
Lol mna barabara nyingine inayo ingia na kutoka Nairobi zaidi ya hii? 🤣🤣🤣This one has no idea what Nairobi is like. 🤣 🤣 🤣
Jilinganishe na barabara zinazoingia na kutoka Dar sasa 😂😂😂😂This one has no idea what Nairobi is like. 🤣 🤣 🤣
Huna ubavu wa kuongea na mimi kwa akili yako hiyo ya kupengea kamasi!Huyo kijibizana naye ni kuharibu wakati. 🤣 🤣
Cry harder 😭😜Yani hii Karne mtu anakuambia ni barabara moja inayoingia Nairobi sasa atasaidika aje? 🤣🤣
Wewe Nairobi unaionea tu kwa maps. Hakuna kitu unajua wewe primary school dropout. 🤣🤣🤣 unapost map ya Kenya vs Dar. Wewe ni pumbavu sana.Jilinganishe na barabara zinazoingia na kutoka Dar sasa 😂😂😂😂
View attachment 2360133View attachment 2360134
Mpaka leo kumbe bado hujajua kwanini mnaita Thika 'superhighway'??? Ni sababu mnayo hiyo tu 🤣🤣🤣🤣Wewe Nairobi unaionea tu kwa maps. Hakuna kitu unajua wewe primary school dropout. 🤣🤣🤣 unapost map ya Kenya vs Dar. Wewe ni pumbavu sana.
Unajiona umenyamba point nzito sana😂😂😂We jamaa huwaga mpumbavu na umejaa mihemuko badala ya akili, Dar zinaingia na kutoka barabara 4 from different directions wakati Nairobi ni barabara moja tu Thika ndio inaingia na kutoka kwenye mji sasa jitafakari yupi mwenye barabara nyingi na ndefu, Dar ni three Nairobiz
Mzee sio CBD tunaongelea hapa kama ni CBD Dar itakuwa na barabara kama 100 hivi 😂😂😂Unajiona umenyamba point nzito sana😂😂😂
Barabara za kuingia CBD
Thika Road
Wayiaki Way
Mombasa Road
Expressway
Ngong' Road
Jogoo Road.
Kati ya hizo dual carriageway ni KM ngapi? Nairobi Mombasa road ni dual kutoka Kyumvi hadi CBD - 41km. Thika road ni dual kutoka Kenol hadi CBD - 60KM (Mwisho wa 2023 itakuwa 150km because upanuzi unaendelea kutoka Kenol hadi Marua). Waiyaki way ni dual from Rironi hadi CBD 35km. Ngong road ni dual from CBD to Karen 13km. Langata road ni dual from CBD to Galleria mall 8km. Ukiweka pamoja barabara za kuingia Nairobi pekee ni 157km dual. By the end of next year zitakuwa 247km. Hapo hata zijaongeza ring roads za ndani amabzo in total ni kama 100km. Hujaweka barabara zingine za ndani ndogo ndogo kama Jogoo road, Outering road, Eastleigh first avenue n.k.Jilinganishe na barabara zinazoingia na kutoka Dar sasa 😂😂😂😂
View attachment 2360133View attachment 2360134
Okay. Za Kuingia Nairobi ni hizi.Mzee sio CBD tunaongelea hapa kama ni CBD Dar itakuwa na barabara kama 100 hivi 😂😂😂
Naongelea trunk roads, go Google it
Mbona unachanganya streets na Trunk roads? Nimesikia mpaka Karen 😂😂😂Kati ya hizo dual carriageway ni KM ngapi? Nairobi Mombasa road ni dual kutoka Kyumvi hadi CBD - 41km. Thika road ni dual kutoka Kenol hadi CBD - 60KM (Mwisho wa 2023 itakuwa 150km because upanuzi unaendelea kutoka Kenol hadi Marua). Waiyaki way ni dual from Rironi hadi CBD 35km. Ngong road ni dual from CBD to Karen 13km. Langata road ni dual from CBD to Galleria mall 8km. Ukiweka pamoja barabara za kuingia Nairobi pekee ni 157km dual. By the end of next year zitakuwa 247km. Hapo hata zijaongeza ring roads za ndani amabzo in total ni kama 100km. Hujaweka barabara zingine za ndani ndogo ndogo kama Jogoo road, Outering road, Eastleigh first avenue n.k.
Tanzania yote hamna barabara yeyote with controlled access. Barabara zenu zote zikona zebra crossing.🤣🤣🤣 Wewe hakuna kitu unaweza niambia.Mpaka leo kumbe bado hujajua kwanini mnaita Thika 'superhighway'??? Ni sababu mnayo hiyo tu 🤣🤣🤣🤣