Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaenda na Gulfstream G550
Yeah naona actually inapiga kazi sana sikuhizi
Screenshot_20220917-212259_Flightradar24.jpg
 
South Africa wana mgao wa umeme wa ajabu..i just hope sisi haitokuja kujirudia kama enzi za richmond..bora raisi afanye madudu yake..ila asizingue sector za Umeme , Maji ,ajira na Afya
....currently sina imani sana na Tanesco inavyoendesha..i feel hata JNHPP ikija online tutapoa kidogo na kuanza kusema maji hayatoshu
Screenshot_20220917-213432.jpg
 
hizo hela (za kujenga BRT) zina wenyewe (nchi), na sehem kubwa zitaenda kwa wenyewe (tender kupewa kwa contractors wa hizo nchi).. sio suala la serikali kuamua tu.. nadhan umeelewa
Za world Bank walipewa strabag , bado world Bank wamefinance. Pia kuna phase iko financed na France , sidhani kama kampuni za France zitapewa hiyo tender?
 
fedha za WorldBank na AfDB ni kandarasi iliyokidhi zigezo kinachotakiwa ni Estim kuwa na portfolio ya kuonyesha miradi kama hiyo waliyotekeleza! As things stand wana chance ya kuweza kushinda tender wanahitaji good lobbying!
Kuna article nilisomaga nisha sahau source yake ilikua inasema yapi markez pamoja na experience ya ujenzi reli Tanzania ndio wamewapa tender ya ujenzi wa reli ndefu zaidi . Tena wao wako well experienced na light railways
 
Kuna article nilisomaga nisha sahau source yake ilikua inasema yapi markez pamoja na experience ya ujenzi reli Tanzania ndio wamewapa tender ya ujenzi wa reli ndefu zaidi . Tena wao wako well experienced na light railways
ni kweli!
 
Here is my answer,

Whoever funded Kenya to build more dual carriageways than the rest of East Africa combined will fund this one.
We jamaa huwaga mpumbavu na umejaa mihemuko badala ya akili, Dar zinaingia na kutoka barabara 4 from different directions wakati Nairobi ni barabara moja tu Thika ndio inaingia na kutoka kwenye mji sasa jitafakari yupi mwenye barabara nyingi na ndefu, Dar ni three Nairobiz
 
We jamaa huwaga mpumbavu na umejaa mihemuko badala ya akili, Dar zinaingia na kutoka barabara 4 from different directions wakati Nairobi ni barabara moja tu Thika ndio inaingia na kutoka kwenye mji sasa jitafakari yupi mwenye barabara nyingi na ndefu, Dar ni three Nairobiz
This one has no idea what Nairobi is like. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom