Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Okay. Za Kuingia Nairobi ni hizi.

Mombasa Road. From Mombasa into Nairobi.
Wayiaki Way. From Nakuru into Nairobi.
Thika Superhighway. From Kiambu into Nairobi
Ngong' Road. From Kajiado into Nairobi.
Leta ramani nikukamate 😎
 
Westlands.

307318406_481495290507356_5551381702649707152_n.jpg
 
Kati ya hizo dual carriageway ni KM ngapi? Nairobi Mombasa road ni dual kutoka Kyumvi hadi CBD - 41km. Thika road ni dual kutoka Kenol hadi CBD - 60KM (Mwisho wa 2023 itakuwa 150km because upanuzi unaendelea kutoka Kenol hadi Marua). Waiyaki way ni dual from Rironi hadi CBD 35km. Ngong road ni dual from CBD to Karen 13km. Langata road ni dual from CBD to Galleria mall 8km. Ukiweka pamoja barabara za kuingia Nairobi pekee ni 157km dual. By the end of next year zitakuwa 247km. Hapo hata zijaongeza ring roads za ndani amabzo in total ni kama 100km. Hujaweka barabara zingine za ndani ndogo ndogo kama Jogoo road, Outering road, Eastleigh first avenue n.k.
Usijisumbue. Ndio hizi dual carriageway zinazoingia Dar
Morogoro Road - 32km
222.jpg


Bagamoyo Road 22km
222.jpg


Julius Nyerere Road 10km
222.jpg


Kilwa Road 11km
222.jpg


Ukizijumuisha unapata 75km pekee. Kumbuka wao hawana 100km of dual bypasses kama Nairobi. Yani ligi ya dual carriageways waiache kabisa. 🤣 🤣
 
Fikeni levels hizi kwanza, trunk roads kama utitiri 🤣🤣🤣

Tena zote 6/8 lanes na BRT juu 😳
View attachment 2360160
Hizi zote zina zebra crossing 🤣🤣🤣 na interchange moja. Kienyeji roads, barabara za juakali. Yani outering road pekee ikona footbridge, flyover na interchange mingi than all these jua kali roads combined.
 
Back
Top Bottom