Mimi sio mwehu, imekuuma sana.., enjoy, nilijua Mombasa hamuijui, many places had not been covered, now it is being unveiled pole pole.., Dar imebakia tu na ka CBD na BRT.., nothing on Mombasa kilaza..,Lies lies![]()
Too obvious.., inajieleza wazi wazi.., 💪Kisumu is better than all the cities in Tanzania outside Dar.
View attachment 2359330View attachment 2359331View attachment 2359332View attachment 2359334
Huo ndiyo ukweli ila tu watanzania tunapenda kujisifia ujingaWakuu,
Wakati ndugu zetu wa Kenya wakimaliza uchaguzi kwa amani na kutoa funzo la hali ya juu sana kwa kuendesha uchaguzi kitaalamu sana huku kila mtu akijipakulia matokeo na kujumlisha bila shida hali ni hivyo hivyo kwenye miundombinu yao.
Kwakweli Nairobi iko mbali sana. Flyovers zao ni za kibabe sana! Huwezi fananisha na kale kadaraja ka kijazi tunakojitapa nako kila siku, Kule Thika superhighway ni balaa, miundombinu ya Nairobi ni kiwango cha Ulaya au China kabisa.
Hapa Dar zaidi ya vidaraja hakuna superhighway yoyote. Hivi tunakwama wapi?
It is like this from Isbania, through Kisumu-Kakamega-Kitale all the way to Turkana/South Sudan border..., Uhuru alikamilisha kazi ya Kibaki, but Riggy G vilified him due to personal biff, Uhuru worked.typical quality of kenyan roads in the middle of nowhere, anywhere..
some international quarters says, kenya is slowly catching up with south africa, when it comes to matters road infrastructure...
here for example, somewhere between kericho and kisumu👇🏽View attachment 2359070View attachment 2359127View attachment 2359129View attachment 2359077View attachment 2359081View attachment 2359130View attachment 2359120View attachment 2359084View attachment 2359085View attachment 2359089View attachment 2359094View attachment 2359095
Watanzania kazi kubwa tulio nayo ni kujitukuza tu na sio uharisia kwa Nairobi na dar ni mbingu na ArdhiUsiseme tunakwama wapi. Sema unakwama wapi. Wewe utakua umeishia darasa la saba na pia ulikua huzingatii masomo. Yaani kwa kiswahili kilicho nyooka wewe ni Mbumbumbu.
katika ujenzi wa nchi kuna kitu kinaitwa: priorities.
Hakuna mtu mwenye akili hata asiye na akili anaweza chagua kiatu dhidi ya chakula. Kinachoendelea Kenya ni ufisadi wa kutisha kwenye hiyo miradi wajinga wanashangilia.
Wala rushwa Kenya wamejikita kwenye miradi isiyo na tija kwakua wana chao kikubwa kwenye hizo projects. Kiuhalisia, priority ingekua ni food security.
Sisi Tanzania ingawa tunakua na viongozi wa hivyo kama samia lakini still, tunafanya mambo ya msingi kwanza. Hivyo vi flyover ni $100M project. Tukimaliza mammbo ya msingi, vitasimama kama uyoga.
Endeleeni kuota 👇Better route-KENYA!
for your information you tanganyikans,.. Isibania in kenya means Sirare in tzIt is like this from Isbania, through Kisumu-Kakamega-Kitale all the way to Turkana/South Sudan border..., Uhuru alikamilisha kazi ya Kibaki, but Riggy G vilified him due to personal biff, Uhuru worked.
Meanwhile DRC imegoma kwenda Mombasa 👇
Izo barabara unazoonyesha ni kama za Tz tu sasa tuonyeshe barabara inazofanana na za SAtypical quality of kenyan roads in the middle of nowhere, anywhere, everywhere..
some international quarters says, kenya is slowly catching up with south africa, when it comes to matters road infrastructure...
here for example, somewhere between kericho and kisumuView attachment 2359070View attachment 2359127View attachment 2359129View attachment 2359077View attachment 2359081View attachment 2359130View attachment 2359120View attachment 2359084View attachment 2359085View attachment 2359089View attachment 2359094View attachment 2359095
KeNHA has not awarded any tender on Mombasa-nairobi highway! Mkunya stop day dreaming!Hapa ukapata contract unaomoka kuomoka. That is a cool 500km of dual carriageway. Hehehe, niliona wengine wakiringa na 8km dual carriageway Mwanza.